Hujitambui wewe, au utoto unakusumbuwa!!....
Ni utoto tu ndio unaokusumbuwa ndio maana hakuna unalolielewa, hapa natalajia muhisika atanijibu swali nililomuuliza maana yeye atakuwa anafahamu vyema ni kwa nini nimemuuliza hilo swali, ila madomo bwabwaja kama wewe ni sehemu ya washereheshaji tu hapa JF, kwahiyo ni watu muhimu muwepo hapa maana hakuna Great Thinker kama hakuna mazuzu.Asichojitambua nini??
Inaelekea ni mtoto mwenzio ndio maana mnajuana.
Mtoa mada anasema ana watoto wawili bila kufafanua wa baba moja ama baba tofauti, Shark hapo juu amejaribu kuliongelea hilo, unakurupuka na mauduvi yako mdomoni ya pombe za jana na kuanza kupost utumbo!!
endeleeni kupiga kelele hapa sie tumishatuma maombisasa dadangu umeshazaa mara mbili na bado unaweka masharti magumu hivyo?? Hauoni kwamba you are being unfair??
Na kwa umri huo huoni kwamba choices zinakua limited?? Na wazuri wengi wanakunywa pombe?
Angalizo: Sijasema kuzaa ni kubaya....
Hao watoto 2 Baba yao yuko wapi?......
kwahiyo wewe ndio msemaji wake? huoni logic yoyote ya swali langu!!??.....:biggrin1: watu kwa kudodosa hamjambo humu ndani..sa baba yao angekuwepo asingekua anatafuta mwanaume humu
hata mi nilitaka kumuuliza,wote ni baba mmoja?
kwani nini kilichokukera juu ya wanangu we mwanahizaya mpaka utake kunichimba kiasi hcho
Watu wenye maono madogo hawakuelewa ni kwa nini nimeuliza Baba wa hao watoto wawili yuko wapi? atleast wewe sasa unafahamu logic ya swali langu.unajzba..humo ndani kutakalika kweli??? afunaonekana una gubu..mwee!:israel::israel:
Watu wenye maono madogo hawakuelewa ni kwa nini nimeuliza Baba wa hao watoto wawili yuko wapi? atleast wewe sasa unafahamu logic ya swali langu.
Nipo tayari kukuchangamsha as najua kuchagamsha ni wito wangu toka damuni!
Ni utoto tu ndio unaokusumbuwa ndio maana hakuna unalolielewa, hapa natalajia muhisika atanijibu swali nililomuuliza maana yeye atakuwa anafahamu vyema ni kwa nini nimemuuliza hilo swali, ila madomo bwabwaja kama wewe ni sehemu ya washereheshaji tu hapa JF, kwahiyo ni watu muhimu muwepo hapa maana hakuna Great Thinker kama hakuna mazuzu.
:bump2::bump2: qwa qwa qwa..na jibu angelitoa linge justify ye ni mtu wa aina gani ndo mana kaacha kuijibu swali kwa busara kaongozwa na jazba!!
Ni utoto tu ndio unaokusumbuwa ndio maana hakuna unalolielewa, hapa natalajia muhisika atanijibu swali nililomuuliza maana yeye atakuwa anafahamu vyema ni kwa nini nimemuuliza hilo swali, ila madomo bwabwaja kama wewe ni sehemu ya washereheshaji tu hapa JF, kwahiyo ni watu muhimu muwepo hapa maana hakuna Great Thinker kama hakuna mazuzu.