Mimi ni mama wa watoto wawili nina umri wa miaka 31 ni mwajiriwa serikalini napenda kuwa wazi ktk jamvi kwani nimekuwa mpweke kwa muda mrefu hivyo basi nahtaji mwanaume mwenye sifa hizi -Awe mkristo wa umri kati ya miaka 36-46 awe mwajiriwa aliyejiajiri asiwe mlevi aliye tayari anipm nimpatie contact zangu ANGALIZO Wale wanaopenda kutoa kashfa kwa yasiyowahusu plse wajiheshimu kwani sio lazima kuchangia jambo ambalo halijakugusu we soma and then unapotezea kwa aliyetayari anipm