ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,388
- 118,832
Nafurahi kusikia hivyo sista! Ishi uonavyo wewe, I was just trolling with you, coz hata interest na music wa vijana sina.Endelea kushangaa hivyo hivyo mdogo wangu ukikuwa nawe utayaona japo hutayaona kama yangu maana mie ni Kasie nawe ni Eli, kuchagua ni kuishi mwaya namshukuru maulana kila siku ipitayo tabasamu halikauki usoni mwangu. 🙂
Na iwe hivyo kama uonavyo..... Amen!!


Ww sijui sababu za kukupenda, ila utaooona