Hahahahahhahaaa looh wacha nikuimbie basi...
(Moyo mashine)
Ila majibu ya upendo ulishakosa
(Acha waseme) Nimekupendea nini
(Moyo mashine)
Ila majibu ya upendo ulishakosaga
(Wacha waseme) Nimekupendea nini.
Bora apige nini?kwanini usitulie ukasettle? si bora upige tu punyeto kama mimi kuliko kujidanganya moyo kila siku unapendapenda na kugegedwa ovyo?
Its not good for youkwanini usitulie ukasettle? si bora upige tu punyeto kama mimi kuliko kujidanganya moyo kila siku unapendapenda na kugegedwa ovyo?
NGOJA NIPIGE NILALEIts not good for you
Please dont bana!!NGOJA NIPIGE NILALE

Nadhani umepata majibu ya swali lako ulilo niuliza
Hahahahahahahaaa weeweee naendelea kuimba looh...
Najua ulinizungusha sana
Sijali huwa ni mambo ya ujana
Kukupenda wewe sijuti
Maneno yalisemwa mengi sana
Kuna wakati nilikata tamaa
Kukupenda wewe sichoki iiiiiiimooooooooo
Moyo mashine ya kusukuma damu na si vinginevyo heheheheh
Hakika sitachoka kukupenda
Woow hakuna asiyependa au kufurahia kupendwa.... hasa ukijua kuwa unapendwa. Narembuaje macho hapa heheheh utasema nimetekenywa sikioni na nyoya la kuku.
Asante mwaya kunipenda nami narudisha mapendo kwako mwaah!
Zamu yako sasa kuimba hata kama ni besi au sauti ya 8 heheheh
Siku hizi wanaiita SELFIEDuuuhw CHAPUTA
Kila nikijaribu kuimba nashindwa.
Hasa nikisoma kule juu alichofanya Sam jana aah na sauti ya kuimba inagoma kabisa nabaki kigugumia tuu.
Najuuta kwanini nimefungua huu uzi leo wakati niliuona toka jana nkajifanya kuupita. aaah kweli moyo mashine.
Mzee mwenzangu karibu tupige show ya kibabe, hawa .com wazituzingue bana. Nitakuimbia nyimbo za santuri siyo hizi sijui cd DVD.Mvumilivu hula mbivu ila akivumilia sana huambulia bidhaa ya kutemgenezea pombe...
Hatari sana maana kuna mtu hapo amekuwa mfungwa tena mjinga na amejipeleka gerezani halafu hakuwaza kama atakuwa mateka! hatari mno!...lakini salama japo sio ndo.m....
Hahahahahaa basi usiendelee kusema maana watakukasirikia watu humu wa kiume watachukia kuwa unawaaibisha kumzimikia kibibi Kasie wakati damu change bin ngozi nyororo zimejaa tele humu.
Watu wa kike watakukasirikia kwanini roho ikuume kwa kizee Kasie wakati wao wapo wanadai. Na wengine wataku PM kukutukana, mwaya usiendelee kusema hapa usijetengwa buree kisa Kasie ukakosa kampani ya kuambatana nayo kuelekea mpirani.
Halafu historia ya Sam huijui? Ndo yule aliyenisaidia club pale nilipotaka kuchukuliwa na watu nsio wajua baada ya kuniwekea dawa kwenye maji ya kunywa. Usihofu juu ya Sam.... hana matata.