Moyo Mashine....

Moyo Mashine....

Historia yake (Sam) siijui ndio maana roho imeniuma jana kunimegemea bibi kizee wangu.

Tatizo langu sijawahi kusema huwa nasemea moyoni sasa leo uvumilivu umenishinda imebidi nioneshe masikitiko yangu ni kiasi gani moyo wangu umemia.

Jamanii naomba nichukue nafasi hii kukuomba radhi mbele ya hadhira ja JF kwa kukuumiza moyo na kukuletea sononeko moyoni.

Pia nashukuru kwa kuniweka moyonini wako ma kunieleza yaliyoujaa moyo wako mbele ya hadharani hii.....

Nisamehe bure babaa kwa kuumiza moyo..
 
Jamanii naomba nichukue nafasi hii kukuomba radhi mbele ya hadhira ja JF kwa kukuumiza moyo na kukuletea sononeko moyoni.

Pia nashukuru kwa kuniweka moyonini wako ma kunieleza yaliyoujaa moyo wako mbele ya hadharani hii.....

Nisamehe bure babaa kwa kuumiza moyo..

Nitaipokea pole yako kwa moyo mkunjufu kama nitahakikishiwa mbele ya hadhira hii ya JF kuwa sitakuja kuumizwa tena.

Na mbele ya hadhira hii nipewe nafasi ya kukidhi haja ya moyo wangu. niruhusiwe kuanzia sasa kusema Kasie wa wambeke na kasie nae ajibu bee wambeke wa mimi.

hapo moyo wangu utakuwa na fraha isiyo kifani
 
Nitaipokea pole yako kwa moyo mkunjufu kama nitahakikishiwa mbele ya hadhira hii ya JF kuwa sitakuja kuumizwa tena.

Na mbele ya hadhira hii nipewe nafasi ya kukidhi haja ya moyo wangu. niruhusiwe kuanzia sasa kusema Kasie wa wambeke na kasie nae ajibu bee wambeke wa mimi.

hapo moyo wangu utakuwa na fraha isiyo kifani

Kiapo cha maandishi ni kifungo, siku nyingi huwa natamani JF pangekuwa na option ya kuchangia kwa sauti ambapo ningeweza fanya hivo ili kuonesha msisitizo wa kiapo ila haya maandishi huwa yana rejea. ....

Sijui lini watazindua uchaguzi huo wa kuchangia uzi kwa sauti badala ya kuandika....
 
Kiapo cha maandishi ni kifungo, siku nyingi huwa natamani JF pangekuwa na option ya kuchangia kwa sauti ambapo ningeweza fanya hivo ili kuonesha msisitizo wa kiapo ila haya maandishi huwa yana rejea. ....

Sijui lini watazindua uchaguzi huo wa kuchangia uzi kwa sauti badala ya kuandika....

Maandishi ni sawa na sauti tu maana zote watu wananukuu tuu. tafadhali sema neno na roho yangu itulie
 
...hivi forties anaweza kuimba 'moyo mashine'...teh teh! Kasie we noma sana

Endelea kushangaa hivyo hivyo mdogo wangu ukikuwa nawe utayaona japo hutayaona kama yangu maana mie ni Kasie nawe ni Eli, kuchagua ni kuishi mwaya namshukuru maulana kila siku ipitayo tabasamu halikauki usoni mwangu. 🙂

utaishi maisha marefu coz it seems you really care less!!
Na iwe hivyo kama uonavyo..... Amen!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom