Moyo Mashine....

Bonge ya song
Naskia alitungiwa lakini

Naomba nijuzwe nani alimfanyia project kali hivo!!?
*namkubali sana ben pol
 
Bonge ya song
Naskia alitungiwa lakini

Naomba nijuzwe nani alimfanyia project kali hivo!!?
*namkubali sana ben pol

Bonge ya song
Naskia alitungiwa lakini

Naomba nijuzwe nani alimfanyia project kali hivo!!?
*namkubali sana ben pol
Jamaa mmoja hivi hua anamtungia na more music pia.. jina limenitoka.. Then uzuri Ben hua ananunua mashairi kama akiyapenda.. Hata wewe ukiweza kuandika vizuri unaweza kumuuzia..
 
naupenda sana watu wanamjua diamond na kiba tu kuna madogo wanapiga tu music mzuri
Mi mwenyewe nilishangaa kiwa huu wimbo haukupewa heshima yake inayo stahili.
Tumeng'ang'ania hawa wenye drama nyingiii, hatujali madogo wengi tuu wanao piga 'muziki mzuri '(in dullah's voice)
 
Jamaa mmoja hivi hua anamtungia na more music pia.. jina limenitoka.. Then uzuri Ben hua ananunua mashairi kama akiyapenda.. Hata wewe ukiweza kuandika vizuri unaweza kumuuzia..
Nashukuru mkuu
Yes ni jambo zuri

*mbona naskia Linah toka ana zaliwa hajawahi tunga wimbo wake hata mmoja so ni swa tuu
 
Mi mwenyewe nilishangaa kiwa huu wimbo haukupewa heshima yake inayo stahili.
Tumeng'ang'ania hawa wenye drama nyingiii, hatujali madogo wengi tuu wanao piga 'muziki mzuri '(in dullah's voice)
ndo maana hatufili maana tunashabikia vitu visivo reak kama ule wimbo wa domo na p square eti una uzuri gani?
 
ndo maana hatufili maana tunashabikia vitu visivo reak kama ule wimbo wa domo na p square eti una uzuri gani?
Aaah
Ule mi naona mzuri, ila si uabudu
Pia napenda kujipa nafasi ya kusikiliza wasanii wengne wanao piga kazi fureshi
 
Inama kidogo shika magoti mi nimesimama kama ngongoti# matuc matupu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…