Moving on after heartbreak

Moving on after heartbreak

Alma89

Member
Joined
Apr 14, 2014
Posts
20
Reaction score
3
Habari wana jamvi la MMU,

Mimi huwa ni msomaji tu lakini leo naja kwenu nipate mawazo yenu. I was in a serious relationship for about three years na mtu niliyekuwa nikimpenda sanaaaa.

I was so relaxed and comfortable nikijua safari yetu inaelekea kwenye ndoa lakini mambo yalikuja kugeuka ndivyo sivyo na niliishia kuumizwa sana baada ya kugundua siko peke yangu.

Msamaha niliombwa mara kadhaa but mambo hayakubadilika.Mwisho wa siku niliamua kulivua pendo. Nakuja kwenu nikiomba mnipe mbinu za kumsahau huyo jamaa na kuendelea na maisha yangu.

It's been almost four months hivi, lakini bado nina maumivu. Najitahidi kujichanganya na watu, flirting with some guys lakini wapi.Yaani hata niwe happy vipi nikikumbuka tu mood inaharibika.

Mliopitia similar situation naomba mnipe mawazo yenu on how to move on.
 
Pole alma kubali matokeo kisha msamehe Huyo jamaa coz believe me You need to forgive him to attain that inner peace.
 
Last edited by a moderator:
Shukuru Mungu umefahamu tabia zake kabla ya ndoa... imagine hayo yanatokea upo kwa ndoa na watoto! You deserve better
 
Nakuja kwenu nikiomba mnipe mbinu za kumsahau huyo jamaa na kuendelea na maisha yangu.

Easy.

Come here baby boo and lay down.

I will be your comforter and then some.

Wherever he cast a shadow on your heart I will bring back your light.

You can count on me for reliability, dependability, affection, mind-blowing, toe-curling, earth-shaking, heart-stopping and knocking you off your feet bang-up time that will make you forget his ass in short order, with a money-back guarantee.
 
msamehe na pia sali uombe Mungu akupe amani ya moyoni.....amani ya kweli inatoka kwa Mungu ni si kwa kilevi....wala club.....wala marafiki.....bali Mungu.....
 
you are going through the same situation as iam! although I don't wanna forget him! be strong, for now only time is the best medicine for you
 
You still love him as I do to him...just keep uaself bize Muombe Mungu afu roho isiikuume kwasababu hamjafikia malengo only bcz mmekaa 3years take it as a challenge...It wasn't mean to happen!Be strong
 
Alma, lakini unauhakika kweli aliyatenda hayo? kuna wengine wanaachana kwa kusikiliza maneno ya watu, au kuona lakini kumbe ni mpango wa mtu au watu ili kuharibu mahusianonya watu. Siwezi kukushauri moja kwa moja kozi sijui nini kilikua chanzo. Ila tu tambua sometime kuna watu wanaachana na innocent people.
 
Nina uhakika 110%, na sio once. Anaomba msamaha, he promises to change but mambo yanakuwa yaleyale tu after a while. Maumivu on top of maumivu.
 
msamehe na pia sali uombe Mungu akupe amani ya moyoni.....amani ya kweli inatoka kwa Mungu ni si kwa kilevi....wala club.....wala marafiki.....bali Mungu.....
Asante I'll do that.
 
Easy.

Come here baby boo and lay down.

I will be your comforter and then some.

Wherever he cast a shadow on your heart I will bring back your light.

You can count on me for reliability, dependability, affection, mind-blowing, toe-curling, earth-shaking, heart-stopping and knocking you off your feet bang-up time that will make you forget his ass in short order, with a money-back guarantee.
Hahaha, you cheered me up for a bit. I thought you were/are married :tape2:
 
Alma, lakini unauhakika kweli aliyatenda hayo? kuna wengine wanaachana kwa kusikiliza maneno ya watu, au kuona lakini kumbe ni mpango wa mtu au watu ili kuharibu mahusianonya watu. Siwezi kukushauri moja kwa moja kozi sijui nini kilikua chanzo. Ila tu tambua sometime kuna watu wanaachana na innocent people.

kweli kabisa
 
You still love him as I do to him...just keep uaself bize Muombe Mungu afu roho isiikuume kwasababu hamjafikia malengo only bcz mmekaa 3years take it as a challenge...It wasn't mean to happen!Be strong
I try...but it hurts.
 
aisee, piga moyo konde maisha yaendelee....
 
Alma; Nayajua mapito unayo yapitia, ila furaha ni kwamba, ulifaham mapema ukajiondoa mwenyewe kwenye makucha hayo mabaya.
Hakuna kitu kigumu kama kujua mwenzio hakuja jana au saa ile muafaka kwa sababu alikuwa na mwingine ambaye naamini alikuwa anamlagai kuwa hakuna mwingine ila ni yeye tu tena peke yake.

Alipoingia mlangoni kwako, ili kukuondoa simanzi anatabasamu na kuanza majina matamu matamu; Honey, Sugar, Sweety na ujinga ujinga mwingine mwingi tu. Ukitaka kufungua kinywa anakuziba na busu.

Kuja kushtukia, kumbe alikuwa nyumba ya 3 from where yu are. Nasema inauma saana. Pole weye Alma na wengine wengi wanao ugulia moyoni.
Furaha yangu alma ni kuwa, maadam umelifungua, sasa moyo umejisikia kutua mzigo. Usiogope, Usifadhaike, Wapo wengine, tena huyu wa sasa atakuwa ni true lover whose heart will meet with yours.

Usifanye haraka ku replace. Usikubali kuwa bandika bandua. Tulia mpaka moyo usahau kupendwa, ndipo likichipua litakuwa jipya. Ila next tyme, LOVE WITH A GAPE. Usilalie mia kwa mia.
 
Easy.

Come here baby boo and lay down.

I will be your comforter and then some.

Wherever he cast a shadow on your heart I will bring back your light.

You can count on me for reliability, dependability, affection, mind-blowing, toe-curling, earth-shaking, heart-stopping and knocking you off your feet bang-up time that will make you forget his ass in short order, with a money-back guarantee.
Hahaha, you cheered me up for a bit. I thought you were/are married :tape2:

Its a funny comment alright.

I too had a laugh.


p/s you are gonna be okay. Time will heal you. In future learn not to take too seriously the affairs of the heart.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom