Movie Reviews

Naomba msaada namna ya kuzipata hizi movie mama jack and mr bones 2 nimejaribu kudownload kwenye apps mbl mbl Kama vile cinema na nyingne zinazofanan na hizo lkn nimeshndwa kuzipata
 
Yan hii movie ndefu mpaka basi masaa 4
5f3713a34d725360c89b948a8ce5f45a.jpg
 
Hizi movie za Sci- Fiction upande wangu sijawahi zipenda, DC sijui Marvel aaaaaaah sasa cha ajabu zinauza huko balaa hasa kwenye Cinema. Pia ni ndefu (duration)
Achana na Marvel. Hao jamaa ni wataalamu. Nahisi wewe ni wale wazee wa kufoward dakika 2-3 unahitimisha movie mbaya. Kaa utulie uangalie movie. Hao DC ukatuni mwingi but Marvel, we tulia weka na subtitle uangalie movie, that's really sci-fi.
Chinese, koreans na hawa wenzao wanaoibukia, Indonesians, ni crap. Very low IQ movies.
cc donlucchese
 
Achana na Marvel. Hao jamaa ni wataalamu. Nahisi wewe ni wale wazee wa kufoward dakika 2-3 unahitimisha movie mbaya. Kaa utulie uangalie movie. Hao DC ukatuni mwingi but Marvel, we tulia weka na subtitle uangalie movie, that's really sci-fi.
Chinese, koreans na hawa wenzao wanaoibukia, Indonesians, ni crap. Very low IQ movies.
cc donlucchese
Kakwambia hazipendi sasa maelezo ya nani mtaalamu kutengeneza movies yametokea wapi au ndo wataka kutuonesha unajua kufatilia movies

BTW kila mtu ana kitu anachokipenda na huwezi mlazimisha kupenda chako mawazo yake yaheshimiwe.
 
Kakwambia hazipendi sasa maelezo ya nani mtaalamu kutengeneza movies yametokea wapi au ndo wataka kutuonesha unajua kufatilia movies

BTW kila mtu ana kitu anachokipenda na huwezi mlazimisha kupenda chako mawazo yake yaheshimiwe.
Shida ni nini ndg...! You think those sci-fi movies are high grossing for nothing?
Sijalazimishe mdau apende kile nacho-suggest mimi, but I used to see those movies as childish, but those movies exhibit the proper use of human imagination to create things desirable.
Je wewe ni shabiki wa Korean movies zilizotafsiriwa?
 
Achana na Marvel. Hao jamaa ni wataalamu. Nahisi wewe ni wale wazee wa kufoward dakika 2-3 unahitimisha movie mbaya. Kaa utulie uangalie movie. Hao DC ukatuni mwingi but Marvel, we tulia weka na subtitle uangalie movie, that's really sci-fi.
Chinese, koreans na hawa wenzao wanaoibukia, Indonesians, ni crap. Very low IQ movies.
cc donlucchese
Sahihi kabisa mkuu,
Ukitaka uenjoy movie za Sci-fi check Marvel , DC waduanzi. Umeshaicheck Snyder's Cut mkuu ya Justice League?
 
Sahihi kabisa mkuu,
Ukitaka uenjoy movie za Sci-fi check Marvel , DC waduanzi. Umeshaicheck Snyder's Cut mkuu ya Justice League?
bado sijaicheki hiyo kiongozi, ni movie mpya hiyo.
BTW money heist s05 lini? Tunakufa na arosto. Also kuna hii series ya mcMafia wametoa only 1 season alaf wakatuaje na arosto.
 
bado sijaicheki hiyo kiongozi, ni movie mpya hiyo.
BTW money heist s05 lini? Tunakufa na arosto. Also kuna hii series ya mcMafia wametoa only 1 season alaf wakatuaje na arosto.
Tayari ishatoka mkuu, tamu Sana. Money Heist sijui lini aisee Ila wakat unawait check kidogo Lupin
 
Shida ni nini ndg...! You think those sci-fi movies are high grossing for nothing?
Sijalazimishe mdau apende kile nacho-suggest mimi, but I used to see those movies as childish, but those movies exhibit the proper use of human imagination to create things desirable.
Je wewe ni shabiki wa Korean movies zilizotafsiriwa?
Nadhani hizo movies za kiswahili tuwaulize watu wa mtaa wa agrey zinapouzwa CDs
 
habari
Wakuu ninauza channel za Netflix zilizounganishwa bando la zaidi ya mwaka na nusu.
Wapenzi wa muvi ni pm
Bei sawa na bure
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom