mahatmaxlla
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 876
- 1,388
Dah ilinizingua sana ***** lakini saivi nimezipakua za kutosha na ninazicheck high qualt balaaaDownload complete hiyo,nenda gallery kachukue mzigo wako
Dah ilinizingua sana ***** lakini saivi nimezipakua za kutosha na ninazicheck high qualt balaaaDownload complete hiyo,nenda gallery kachukue mzigo wako
Mkuu zinaendelea mbonaHii Si wameishia EP ya 9 wamezingua sana
sasa ole wako na ww badae uje kuanza kuwauzia watu wakati umefundishwa bureDah ilinizingua sana ***** lakini saivi nimezipakua za kutosha na ninazicheck high qualt balaaa
Me sio icemaduke....mkuusasa ole wako na ww badae uje kuanza kuwauzia watu wakati umefundishwa bure
Season 5 wameendelea zaid ya episode 9?Mkuu zinaendelea mbona
hatari sana mzaziiNiko napiga zangu episode ya 9 s5
Sio kufa tuuh kufa vbayaHii ngoma ilipoteza mvuto mara baada ya Ragnar kufa.Ila bado iko njema sana
Haahaaa tuko tofauti kidogo mimi naonaga Science fiction kama too much of fantasy hivyo sizikubali kihivyo maana teknolojia ya humo za ajabu mara mtu anaweza ku-video call na "the future"?? Mara mtu anaweza kurudi back in time let alone silaha zinazotumika humo too much fantasy