Huyo Jamaa anaitwa YOHANA LAIZER ni Katibu mwenezi wa vijana CCM Longido. Ni mpiganaji sana huyo kijana, hivyo kama kahamia CDm....Oh My God basi CCM kushney......imekula kwao sasa!!
Movement For Change sasa inapamba moto, Mungu yuko upande wetu naona dalili zote za ukombozi wa tanganyika yetu zikikamikila, pioa nashukuru kuwepo kizazi cha mabadiliko, tutawaachia watoto wetu nchi nzuri yenye muelekeo. Viva Chadema