mchapafito
JF-Expert Member
- Oct 16, 2013
- 607
- 302
nenda wikipedia ya hiyo movie then anza kutafuta characters wote utapata taarifa mpaka jana wamekula nini!
ha ha ha ha ha.....umenichekesha
nenda wikipedia ya hiyo movie then anza kutafuta characters wote utapata taarifa mpaka jana wamekula nini!
Move ?
UDSM ?
Hahahahaaaa mkuu habar ya wew miss you sana loooo
nenda wikipedia ya hiyo movie then anza kutafuta characters wote utapata taarifa mpaka jana wamekula nini!
Niliiangalia mwaka 92nimwakakuta 2008 wanaiangalia kigoma uvinza kama movie mpya na walikua na hofu sana
Mkuu Waberoya pole, yawezekana hujui faida ya mitandao ya kijamii. Mitandao ya kijamii iko ktk mfumo ya Two way communication. Mleta uzi anajua sana kuwa kuna Wikipedia, Google, Yahoo, Excite, Amazon n.k.,lakini mleta uzi ameona ni muhimu kuleta mawazo yake hapa ili wewe na mimi tuchangie lolote. Kama ndivyo wewe usingekuwa hapa jukwaani.