The Stress Challengerr
JF-Expert Member
- Jan 18, 2020
- 2,478
- 6,764
Nini wewee Semenya wa UkaldayoFanya kazi ewe myunani.
Nini wewee Semenya wa UkaldayoFanya kazi ewe myunani.
Hahaha bro kwanini mliweka mgomo?Nikikumbuka tuliwai organize mgomo tukapanga ety tuchome shule sijui tungefaidika nini ahahahah ..pole kwa uongozi wa shule nzima
Kwa hiyo solar sio umeme?!Kama ni umeme . MAbweni yote nchini yafungwe tu sola hakuna namna.
Hujasoma na kukaa bwenini ndio maana hujuiKwa hiyo solar sio umeme?!
Ndiyo shida ya kusoma HKL
Weh, weh! Petrol super uwashe igome kuwaka, nani kasema?Hata mimi nakumbuka aisee shuleni kwetu tuliorganize tuchome moto na petroli ilishapatikana lkn ikawa haina nguvu kila tukichoma inazimika
Hahaha bro kwanini mliweka mgomo?
wewe ulisoma wapi mkuu,mimi ilikuwa kusini
Weh, weh! Petrol super uwashe igome kuwaka, nani kasema?
Mlipigwa changa la macho mkauziwa maji badala ya petrol ili kuzima nia yenu ovu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bweni la wasichana la shule ya sekondari Oljoro namba tano iliyoko wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara limeteketea kwa moto ambao bado chanzo chake hakijajulikana na kusababisha uharibifu wa miundombinu pamoja na vifaa vya wanafunzi.
View attachment 1589857
Una uhakika gani kama sijasoma bweni jf bwana kila mtu anajikuta anamjua kila mtuHujasoma na kukaa bwenini ndio maana hujui