Baada ya jana vijana wa CCM kuingilia mkutano wa Chadema pale Singida leo ni zamu ya tabora ,tegemeeni "october tunatiki" katikati ya no reforms no election ni moto juu ya moto.
Nilijiuliza jana endapo kijana wa CDM atajitoa ufahamu na kwenda kwenye mkutano wa ccm halafu akasema No reforms no election.......uwezekano wa kukutwa hai ni mdogo sana.
Asanteni Chadema pande za Singida kwa kumfinya tu na kumwachaa aendelee kujifunza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.