Moto wa ACT Umezimikia wapi?

Moto wa ACT Umezimikia wapi?

ACT ni Chama chenye wachezaji imara wenye kuleta ubingwa na kupoteza vyama vilivyokuwa vinashikilia ubingwa kwa siku nyingi.
 
ACT ni Chama chenye wachezaji imara wenye kuleta ubingwa na kupoteza vyama vilivyokuwa vinashikilia ubingwa kwa siku nyingi.
We jidanganye tu. wenzako CHADEMA walijifanya kufurukuta lakini wamechemsha
 
Wadau, kwa siku kadhaa kumekuwa na vuguvugu la chama kipya cha ACT kujiimarisha kwenye mikoa ya Katavi, Kigoma na Tabora.

Katika vuguvugu hilo, tumeshuhudia mada kadhaa zikianzishwa humu JF kwa lengo la kunakshi harakati hizo. Binafsi nilidhani kuwa huo ndo mwanzo wa mabadiliko ndani ya siasa za upinzani nchini na nilitegemea kuwa harakati hizo zitaendelea kwenye mikoa mingine.

Hata hivyo, mpaka sasa hali imepoa na hakuna dalili kuwa harakati hizo zitaendelea tena. Hali hii imenishtua na najiuliza, je ni kweli ACT ni chama makini cha Upinzani au ni mchezo wa kuigiza kama wafanyavyo CHADEMA?

Kila mkika mnaumizwa na act ongera sana tupo na tunaendeleya na mikutano ya chama halafu tambuwa tu hata nyie xcdm mlikuwa mnanzisha operetion zenu zinaishiya mikowa mi 3 au 4 mnatuliya
Sasa usishangae act tupo fiti kwa lolote
 
Unajua sisi kama ACT-Tanzania chama makini kabisa cha kupambana na CDM tumejipanga ukanda wa Kigoma, Rukwa, Katavi, Tabora n.k ili tujidadavue kwamba sisi ni wa ukanda huu halafu CCM wataanza kutugeuka kwamba sisi ACT ni chama cha Magharibi a.k.a cha cha Waha na kuipakazia CDM ni chama cha kaskazini a.k.a Chagadema.
Ktk kujinadai baadae watawaambia wananchi mmeona vyama vinavyowagawa watz, CDM kaskazini, ACT magharibi, CUF Mashariki(pwani) lkn CCM ni nchi nzima.
Kwahiyo CCM watakuja na usemi huo kwamba vyama vya upinzani vinawagawa wananchi,
Malizia mwenyewe . . .
ACT chama makini cha kupambana na Chadema kwa hisani tuliyopewa na serikali ya CCM


Pumbambavu zako umekaa kimajungu tu bado kupewa mtandio cdm kinaumakini gani kinaongozwa na mtu ambeya hawezi hata kuswalisha macho kumchuzi
Mtaishiya hivyo hivyo

Sasa tumebaki na kazi 1 tu
Kuwavuwa magamba
Kuwavuwa magwanda
Kuwavalisha uzalendo tu
 
Sikumbuki kama ACT-Tanzania ilishawahi kuwasha moto mahali.Labda mleta mada atukumbushe vizuri.
 
Kwa hiyo magamba leo mnakula mtoto wenu,wa kumzaa mwenyewe? ACT ni ccm tuu hata mzuge!
 
Reject ni ccm na chadema...sio ACT ndio mana mnahangaika km mtetea anayetaka kutaga kuichafua.
Mwl. Kaijage, hakika umekosa adabu! unawezaje kumtukana mfadhiri wenu? Zito na Mwigamba wakikusoma hapa kibarua huna!
 
Kwani huo moto uliwashwa lini na wapi? Mbona mie sikuuona!? Chama chochote kinachoanzishwa kwa nia ya kufanya usaliti na Viongozi wake hata kuogopa kujitokeza hadharani basi ujue chama hicho hakistahili hata kuwepo nchini.
 
Haya ndiyo mahusiano kati ya CCM na ACT

_monkey_love.jpg
 
Kwa vile chama mama (CHADEMA) kimekufa, ACT nao wanafuata nyayo hizo hizo
Weston Songoro, wacha kujitoa ufahamu kenge wewe, ACT ilianzishwa kwa ushawishi na mtaji wa CCM. Kwa muda mrefu sana wewe na mapepo wenzako wa Lumumba mumekuwa mkiwashadidia kwa nguvu zoe ACT hapa JF, vipi leo unawageuka na kuwasimanga?
 
Weston Songoro, wacha kujitoa ufahamu kenge wewe, ACT ilianzishwa kwa ushawishi na mtaji wa CCM. Kwa muda mrefu sana wewe na mapepo wenzako wa Lumumba mumekuwa mkiwashadidia kwa nguvu zoe ACT hapa JF, vipi leo unawageuka na kuwasimanga?

sijawahi na sitawahi kuwashadadia hawa ACT
 
Pumbambavu zako umekaa kimajungu tu bado kupewa mtandio cdm kinaumakini gani kinaongozwa na mtu ambeya hawezi hata kuswalisha macho kumchuzi
Mtaishiya hivyo hivyo

Sasa tumebaki na kazi 1 tu
Kuwavuwa magamba
Kuwavuwa magwanda
Kuwavalisha uzalendo tu

Kuswalisha? Kwani cdm ni kikundi cha dini?
 
Back
Top Bottom