Weston Songoro
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 2,793
- 1,086
- Thread starter
- #21
Kama kina mwelekeo huo basi hakina tofauti na CHADEMAKinamwelekeo huo.
Kama kina mwelekeo huo basi hakina tofauti na CHADEMAKinamwelekeo huo.
duu nimestuka kimbe ndio malengo yakoCHADEMA ni wahuni tu kama walivyo ACT, CUF na NCCR
Nadhani akili wanazo ila maarifa ndo hawana. Hawana tofauti na CHADEMA
Mkuu, kwani ACT si tawi la CHADEMA? Ni kama wakati ule tulikuwa na Yanga ndaninyake ikazaliwa Pan African. Walikuwa wanawabania Simba haoooo ila wakija Yanga walikuwa wanaachia. Kama ilivyo Toto African ya Mwanzanaomba ufafanuzi wako mheshimiwa , hii mada inahusu CHADEMA au inahusu ule mkusanyiko wa WASALITI na MAMLUKI unaoitwa ACT ?
Uctuongelee mkuu...semea nafsi yako tu..Chdma chama cha matapeli
CCM haijawapa kazi hiyo. Njaa zenu ndo zimewakimbuza CHADEMA. Analysis yako ni ya kweli kabisa kuwa vyama vya upinzani ni vya kikanda na kimakabila. Ila CCM ni chama kinachokubalika nchi nzimaUnajua sisi kama ACT-Tanzania chama makini kabisa cha kupambana na CDM tumejipanga ukanda wa Kigoma, Rukwa, Katavi, Tabora n.k ili tujidadavue kwamba sisi ni wa ukanda huu halafu CCM wataanza kutugeuka kwamba sisi ACT ni chama cha Magharibi a.k.a cha cha Waha na kuipakazia CDM ni chama cha kaskazini a.k.a Chagadema.
Ktk kujinadai baadae watawaambia wananchi mmeona vyama vinavyowagawa watz, CDM kaskazini, ACT magharibi, CUF Mashariki(pwani) lkn CCM ni nchi nzima.
Kwahiyo CCM watakuja na usemi huo kwamba vyama vya upinzani vinawagawa wananchi,
Malizia mwenyewe . . .
ACT chama makini cha kupambana na Chadema kwa hisani tuliyopewa na serikali ya CCM
CHADEMA ni wahuni tu kama walivyo ACT, CUF na NCCR
Mkuu, kwani chama hiki ni cha kigoma tu?
Nani anayeweweseka Mkuu? Ni hawa waigizaji ACT au waliofilisika kisiasa (CHADEMA)?Naona mnaweweseka
Wadau, kwa siku kadhaa kumekuwa na vuguvugu la chama kipya cha ACT kujiimarisha kwenye mikoa ya Katavi, Kigoma na Tabora.
Katika vuguvugu hilo, tumeshuhudia mada kadhaa zikianzishwa humu JF kwa lengo la kunakshi harakati hizo. Binafsi nilidhani kuwa huo ndo mwanzo wa mabadiliko ndani ya siasa za upinzani nchini na nilitegemea kuwa harakati hizo zitaendelea kwenye mikoa mingine.
Hata hivyo, mpaka sasa hali imepoa na hakuna dalili kuwa harakati hizo zitaendelea tena. Hali hii imenishtua na najiuliza, je ni kweli ACT ni chama makini cha Upinzani au ni mchezo wa kuigiza kama wafanyavyo CHADEMA?
Waswahili wana msemo wao kuwa ngoma ikivuma sana mwisho wake hupasuka
Mkuu, kwani chama hiki ni cha kigoma tu?
Dah! Mkuu. Haya bana
Nadhani akili wanazo ila maarifa ndo hawana. Hawana tofauti na CHADEMA
Una hasira na ACT kwa kuwa tawi lenu ccm pale kigoma liligeuka ghafla na kuwa la ACT? Na bado povu litawatoka sana,tena maccm ndio maiti kabisa huku afadhali hata hao wahafidhinaCHADEMA ni wahuni tu kama walivyo ACT, CUF na NCCR
Akili ndogo ndio zinawaza hiviKama mwigamba alikuwa anajiamini mbona mbona hakuanzisha hicho chama huko arusha? Badala yake katafuta mkoa dhaifu na watu wake wa dhaifu wasiokuwa na msimamo wenye asili ya ubishi na usaluti kafika huko na kunzisha genge la wasaliti jamani. Mbona waha hamtaki kuwa strong?
Njaa zako zitakuua. Acha kufikiri kwa kutumia tumbo mtumishi wa ndani wa mbowe wewe
Mkuu, kwani chama hiki ni cha kigoma tu?