Moto wa ACT Umezimikia wapi?

Moto wa ACT Umezimikia wapi?

Una hasira na ACT kwa kuwa tawi lenu ccm pale kigoma liligeuka ghafla na kuwa la ACT? Na bado povu litawatoka sana,tena maccm ndio maiti kabisa huku afadhali hata hao wahafidhina
Ni michezo ya kuigiza tu hiyo Mkuu. ACT ni moto wa mgomba. Haufai hata kwa kuivisha maharage
 
CCM na CHADEMA waogopa makali ya chama cha ACT-TANZANIA.
Katika kuelekea Chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi Mkuu-2015,vyama vya CCM na Chadema kila kukicha wapo busy kuizungumzia ACT,Chama ambacho kimeungwa mkono na Watanzania wote hasa kwa sera ya Taifa Kwanza,Chama ambacho kinajikita kuyajali maslahi ya Watanzania wote na kwa muda wote. CCM na CHADEMA sasa wanajipanga kufufua vyama vyao ambavyo vimepoteza muelekeo kwa Watanzania. Sasa ili vyama hivi vifufuke tena ni kuwa busy na mapambano dhidi ya ACT, Kwani ACT ndio jawabu la Watanzania Leo na Kesho.
 
Ni michezo ya kuigiza tu hiyo Mkuu. ACT ni moto wa mgomba. Haufai hata kwa kuivisha maharage
Pole sana...unakesha jf kuchafua ACT utaua familia kwa njaa. ACT inawatetea hadi bibi zako huko kijijini waliopigika na maisha kwa ufisadi wa ccm
 
CCM na CHADEMA waogopa makali ya chama cha ACT-TANZANIA.
Katika kuelekea Chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi Mkuu-2015,vyama vya CCM na Chadema kila kukicha wapo busy kuizungumzia ACT,Chama ambacho kimeungwa mkono na Watanzania wote hasa kwa sera ya Taifa Kwanza,Chama ambacho kinajikita kuyajali maslahi ya Watanzania wote na kwa muda wote. CCM na CHADEMA sasa wanajipanga kufufua vyama vyao ambavyo vimepoteza muelekeo kwa Watanzania. Sasa ili vyama hivi vifufuke tena ni kuwa busy na mapambano dhidi ya ACT, Kwani ACT ndio jawabu la Watanzania Leo na Kesho.
Yaani hawa hawa ACT ambao hata ofisi hawana ndo wachukue nchi?
 
Pole sana...unakesha jf kuchafua ACT utaua familia kwa njaa. ACT inawatetea hadi bibi zako huko kijijini waliopigika na maisha kwa ufisadi wa ccm
Kwani bibi zangu wanakufa njaaa. Labda wewe huko Kasulu
 
Ccm aliondoka nayo nyerere, hii ya sasa ni wezi wa mali ya umma,hamna jipya. Watz wamepigika kwa sababu ya ufisadi wenu
CCM ipo na itaendelea kuwepo. Kwani kuna tofauti gani kati ya CCM ya sasa na ya wakati wa Nyerere. Kikubwa ni kwamba CCM inazidi kutawala
 
...ukiona chama kinaanzishwa na makao makuu yanakuwa mahali alipozaliwa mkuu wao ujue hapo kunatatizo kubwa sana...
 
Kwani bibi zangu wanakufa njaaa. Labda wewe huko Kasulu
Kasulu hatuna njaa kama nyie misukule ya ccm. Tunalima mazao yote unayoyajua japa nchini. Ila ccm ndio wanatutia umaskini kwa ufisadi. Hadi leo barabara hakuna, elimu duni,hospitali hakuna madawa wakati tunalipa kodi. Laana nyie
 
...ukiona chama kinaanzishwa na makao makuu yanakuwa mahali alipozaliwa mkuu wao ujue hapo kunatatizo kubwa sana...
Akili ya bata hii. Makao makuu ya ACT yapo ubungo. Hayapo machame wala tengeru
 
Njaa mbaya sana. Huyu Mwl. Kaijage kaacha kazi ya ualimu anakimbilia siasa
 
Njaa mbaya sana. Huyu Mwl. Kaijage kaacha kazi ya ualimu anakimbilia siasa
Akili imekuishia unaanza kushambulia personality. Hata nyerere aliacha ualimu akaenda kwenye siasa.mimi nafuata nyayo A nyerere.
 
Back
Top Bottom