Moto wa ACT Umezimikia wapi?

Moto wa ACT Umezimikia wapi?

Chabruma una matatizo ya akili. Chadema waigiza? Swala katiba kaleta nani nchini nakuwatoa watz matongotongo kuwa ni mbovu kama co chadema? Chadema wanaongoza nchi indirectly. Hiki ni chama kikubwa babu lao. Vijana tunakisupot kwa nguvu zetu zote kwa garama yeyote ile.
utakuwa mtoto wa miaka ya 90's wewe. kwa taarifa yako dai la katiba mpya lilianza tangu kipindi cha NCCR na baadaye CUF. chadema wamedandia tu njiani. ziliundwa tume mbalimbali za majaji waliobobea kama akina francis nyalali bado zikapotezewa na akina mkapa. hata hii Kikwete angetaka angeipotezea tu maana alikuwa kwenye ofisi tayari na ulikuwa mhula wake wa mwisho. ni jambo zuri Kikwete amelianzisha japokuwa amekuwa wa kwanza kuanza kuharibu tena mchakato wenyewe. ni vizuri ukauliza kuliko kuandika kitu usichokijua kwa kukaririshwa na hao maharamia wenu.
 
Akili ya bata hii. Makao makuu ya ACT yapo ubungo. Hayapo machame wala tengeru
...hii yako ni ya kunguru kabisa, nilidhani unaweka adress kuthibitisha kuwa unaakili kumbe hauna tofauti na akili ya kunguru kujidai mjanja kuiba takataka (zzk) teh teh teh...!
 
ACT ni kama hawa hapa!!

limbu2.jpg
 
ACT ni CCM D

CUF - CCM B (CCM na CUF wameungana Zanzibar kutawala nchi)
NCCR - CCM C (Chini ya Mbunge wa kuteuliwa na Mwenyekiti wa CCM)

Natafuta equation ya UKAWA!
 
Huo ni sawa na moto wa mabua, Pesa waliyopewa na ccm ikiisha tu basi na hilo genge lao linasambaratika.
 
Mbona moto wa chadema hatuuoni, ACT imefanya Chadema wamechanganyikiwa kabisa
 
Mbona moto wa chadema hatuuoni, ACT imefanya Chadema wamechanganyikiwa kabisa

Hakika a.c.t ni tawi la ccm wala hamtupi presha nyie subirieni kipindi cha kampeni ndio tutajua mengi endeleeni kuchezea simba mwenye njaa sharubu.
 
Back
Top Bottom