Reject ni ccm na chadema...sio ACT ndio mana mnahangaika km mtetea anayetaka kutaga kuichafua.
Zile DVD za Zitto ziliisha?
Reject ni ccm na chadema...sio ACT ndio mana mnahangaika km mtetea anayetaka kutaga kuichafua.
Ya dsm mkuu, sio ya machame wala tengeru kwa kina dj zeroUbungo ya Mwandiga?
Pole sana ndugu. CCM ipo na itaendelea kuwepo. Mtasubiri sanaa. Huoni kuwa unahangaika peke yako na hiyo ACT yako? Hakuna hata mmoja anakuunga mkonoKasulu hatuna njaa kama nyie misukule ya ccm. Tunalima mazao yote unayoyajua japa nchini. Ila ccm ndio wanatutia umaskini kwa ufisadi. Hadi leo barabara hakuna, elimu duni,hospitali hakuna madawa wakati tunalipa kodi. Laana nyie
ACT wameshachafuka hata kabla ya kuchafuliwa. Mmetumika na CHADEMA mpaka basi sasa mnatafuta pa kutokea. Poleni sanaReject ni ccm na chadema...sio ACT ndio mana mnahangaika km mtetea anayetaka kutaga kuichafua.
Akili imekuishia unaanza kushambulia personality. Hata nyerere aliacha ualimu akaenda kwenye siasa.mimi nafuata nyayo A nyerere.
Hahahahahaaaaaaa! Usinikumbushe ya IMTUACT imezikwa makaburi ya Mwandiga Kigoma.Yamebaki mabaki pale IMTU.
Mna ofisi au kiota?Ya dsm mkuu, sio ya machame wala tengeru kwa kina dj zero
Ya dsm mkuu, sio ya machame wala tengeru kwa kina dj zero
Kinachochukua nchi ni ACT sio ofisi
CCM ipo na itaendelea kuwepo. Kwani kuna tofauti gani kati ya CCM ya sasa na ya wakati wa Nyerere. Kikubwa ni kwamba CCM inazidi kutawala
Naona mnaweweseka
Una hasira na ACT kwa kuwa tawi lenu ccm pale kigoma liligeuka ghafla na kuwa la ACT? Na bado povu litawatoka sana,tena maccm ndio maiti kabisa huku afadhali hata hao wahafidhina
CC : Mwl. Kaijage wa Kasulu.
Ahaaaaaaaaa! Duh!Lile gheto la MM analowakazia watoto wa UDSM ndio ofisi yenu?
Kasulu hatuna njaa kama nyie misukule ya ccm. Tunalima mazao yote unayoyajua japa nchini. Ila ccm ndio wanatutia umaskini kwa ufisadi. Hadi leo barabara hakuna, elimu duni,hospitali hakuna madawa wakati tunalipa kodi. Laana nyie
Kwa vile chama mama (CHADEMA) kimekufa, ACT nao wanafuata nyayo hizo hizoHiki chama kilichoanzishwa kwa hisia za kisaliti kitakufa mapema zaidi hata ya adc!