Moto Umemuanzia Mwigulu Mapema Mno Bungeni!

voicer

JF-Expert Member
Jul 13, 2020
5,551
11,881


Nii wazi kabisa Mheshimiwa Mwigulu Nchemba waziri wa fedha JMT.

Yuko katika wakati mgumu kuelekea kwenye mjadala wa uchambuzi wa hoja ya ripoti ya mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali.CAG huko bungeni Dodoma.

Mambo yameanza kumkalia shingoni,kabla hata ya ripoti yenyewe.
Ni pale ambapo mjadala wa uchambuzi wa hotuba ya waziri mkuu ulipokuwa ukiendelea.

Alianza kukiwasha Ester Matiko na ikampelekea Mwigulu kulazimika kusimama na kutoa taarifa kwa mchangiaji.
Mwigulu nae akajikoroga kwa kumhusisha Rais kuhusiana na ile kadhia ya ongezeko la malipo ya ndege ya mizigo!

Kabla ya Ole sendeka kusimama na kutaka muongozo wa spika,kwa kitendo cha Waziri wa fedha kumhusisha rais na uidhinishaji wa malipo ya kiserikali.
Video clips zinaongea hapo juu!
 


Nii wazi kabisa Mheshimiwa Mwigulu Nchemba waziri wa fedha JMT.

Yuko katika wakati mgumu kuelekea kwenye mjadala wa uchambuzi wa hoja ya ripoti ya mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali.CAG huko bungeni Dodoma.

Mambo yameanza kumkalia shingoni,kabla hata ya ripoti yenyewe.
Ni pale ambapo mjadala wa uchambuzi wa hotuba ya waziri mkuu ulipokuwa ukiendelea.

Alianza kukiwasha Ester Matiko na ikampelekea Mwigulu kulazimika kusimama na kutoa taarifa kwa mchangiaji.
Mwigulu nae akajikoroga kwa kumhusisha Rais kuhusiana na ile kadhia ya ongezeko la malipo ya ndege ya mizigo!

Kabla ya Ole sendeka kusimama na kutaka muongozo wa spika,kwa kitendo cha Waziri wa fedha kumhusisha rais na uidhinishaji wa malipo ya kiserikali.
Video clips zinaongea hapo juu!
This time lazima wamumwage

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
anataka kubebeshwa zigo la mavi wakati wote tunajua na kuona ni system corrupt... ndio maana tunashuhidia new episodes daily..

Wananchi wanapaswa kuchukua hatua sasa, hawa wapiga ramli hawawezi kuwa na msaada na taifa hili zaidi ya kupambania maslahi binafsi na familia zao.
 
kwa nilivyoelewa katiba inasema pesa zinaidhinishwa na wasaidizi wa Rais

lakini je utendaji kazi unafanyika sawasawa na kitiba inavyosema?
kwenye katiba pesa zinaidhinishwa na wasaidizi wake lakini utendaji hauwi hivo

kwenye utendaji wa serikali ya Tanzania asilimia kubwa ya pesa anaidhinisha Rais maana hata yeye siku anapewa report na CAG alizungumzia kuhusu invoice aliyoletewa
 


Nii wazi kabisa Mheshimiwa Mwigulu Nchemba waziri wa fedha JMT.

Yuko katika wakati mgumu kuelekea kwenye mjadala wa uchambuzi wa hoja ya ripoti ya mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali.CAG huko bungeni Dodoma.

Mambo yameanza kumkalia shingoni,kabla hata ya ripoti yenyewe.
Ni pale ambapo mjadala wa uchambuzi wa hotuba ya waziri mkuu ulipokuwa ukiendelea.

Alianza kukiwasha Ester Matiko na ikampelekea Mwigulu kulazimika kusimama na kutoa taarifa kwa mchangiaji.
Mwigulu nae akajikoroga kwa kumhusisha Rais kuhusiana na ile kadhia ya ongezeko la malipo ya ndege ya mizigo!

Kabla ya Ole sendeka kusimama na kutaka muongozo wa spika,kwa kitendo cha Waziri wa fedha kumhusisha rais na uidhinishaji wa malipo ya kiserikali.
Video clips zinaongea hapo juu!


Hilo bunge kibogoyo la majizi ya kura nalo ni la kumtishia yoyote? Hapo wanafanya maigizo, kisha baadae wote wanaunga mkono hoja!
 
Duuuuh. Jamaa kaamua kumchoma Boss.

Boss kakupa mamlaka ya kusimamia mpunga nchi nzima. Halafu unaulizwa mpunga uko wapi, unamtaja tena boss.

"So who are you? , that was too irresponsible mwanetu.
 
Duuuuh. Jamaa kaamua kumchoma Boss.

Boss kakupa mamlaka ya kusimamia mpunga nchi nzima. Halafu unaulizwa mpunga uko wapi, unamtaja tena boss.

"So who are you? , that was too irresponsible mwanetu.
Aise hii nzito, inamaana kila ucheleweshaji Rais anahusika moja kwa moja....Jamaa kachemsha mbaya!
 
Mwigulu yupo vizuri sana. Atulie na kujibu kwa upole tu, avumilie maswali ya kujinga (mengi watakayouliza), ameaminiwa kwakuwa ni mwaminifu.
 


Nii wazi kabisa Mheshimiwa Mwigulu Nchemba waziri wa fedha JMT.

Yuko katika wakati mgumu kuelekea kwenye mjadala wa uchambuzi wa hoja ya ripoti ya mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali.CAG huko bungeni Dodoma.

Mambo yameanza kumkalia shingoni,kabla hata ya ripoti yenyewe.
Ni pale ambapo mjadala wa uchambuzi wa hotuba ya waziri mkuu ulipokuwa ukiendelea.

Alianza kukiwasha Ester Matiko na ikampelekea Mwigulu kulazimika kusimama na kutoa taarifa kwa mchangiaji.
Mwigulu nae akajikoroga kwa kumhusisha Rais kuhusiana na ile kadhia ya ongezeko la malipo ya ndege ya mizigo!

Kabla ya Ole sendeka kusimama na kutaka muongozo wa spika,kwa kitendo cha Waziri wa fedha kumhusisha rais na uidhinishaji wa malipo ya kiserikali.
Video clips zinaongea hapo juu!

Watapita tuu hao Kwa sababu hata wao ukiwauliza Mwigulu kafisadi pesa zipi hawana majibu
 
Back
Top Bottom