Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Habari Wana JF,Kituo maarufu cha mafuta cha Bamaga kinawaka moto asubuhi hii kwa wale watumiaji wa Barabara ya Ally Hassan Mwinyi nawaomba wasipite maeneo hayo Foleni ni kubwa na kuna risk kubwa kwani kuna mitungi ya Gesi.