masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,172
Moto mkali ulioanza usiku huu kileleni mwa Mlima Kilimanjaro, unaendelea kuteketeza barafu ndogo iliyobakia kileleni hapo.
Mabonge ya barafu yameshuhudiwa na wananchi walio chino ya lima huo mrefu kuliko yote Afrika,yakibiringika mabondeni na kuyeyuka kwa kasi.
Mkuu wa Polisi Mkoani humo Absalom Mwakyoma alokuwa akihaha kuazima helikopta ya ya Mzee Ndesamburo, maarufu Kama Ndesa Pesa, ili apeleke askari wake kujaribu kudhibiti tukio.
Mzee Ndesa Pesa Mwenyewe amesema tukio hili ni serious na atakodisha helikopta nyingine kwa ajili hiyo kola ya kuelekea Arumeru.
Source:Habari toka ofisini nyeti.
Mabonge ya barafu yameshuhudiwa na wananchi walio chino ya lima huo mrefu kuliko yote Afrika,yakibiringika mabondeni na kuyeyuka kwa kasi.
Mkuu wa Polisi Mkoani humo Absalom Mwakyoma alokuwa akihaha kuazima helikopta ya ya Mzee Ndesamburo, maarufu Kama Ndesa Pesa, ili apeleke askari wake kujaribu kudhibiti tukio.
Mzee Ndesa Pesa Mwenyewe amesema tukio hili ni serious na atakodisha helikopta nyingine kwa ajili hiyo kola ya kuelekea Arumeru.
Source:Habari toka ofisini nyeti.