hongera sana dear kwa kupata mama mkwe wa hivyo......
Ni ngumu sana kupata binadamu ambaye unakaa naye miaka zaidi ya miwili na usione dosari yoyote toka kwake.
Nikikumbuka, mamangu tu ambaye alinibeba kwa tumbo lake miezi kadhaa na kunilea kwa mapendo yote mpaka sasa na uzee wangu huu bado tunakwaruzana hapa na pale, ingawa siyo serious issues. Mama mkwe wako ni wa kipekee, endelea kumwomba Mungu aendelee kuwa hivyo katika maisha yake yote, we need wakwe kama hao.
Nakusalimu sana rafiki, umepotea haswaaaa