Mothers' day 2014

Mothers' day 2014

asante sana Dark City

nampenda sana mama yangu...furaha yangu...uzuri wangu...mafanikio yang yeye ndo mwanga wngu.amepata shida sana juu yangu amenilea hakukata tamaa

jaman tumaanishe upendo kwa mama zetu kwa matendo na mzingira wanayoishi...tuwajali sana

Uko sahihi, kwa mila za kwetu, kutomjali mama ni laana tosha!

Mom and wife ni watu wa kuheshimu na kujali sana!
 
Teacher gfsonwin, mbona umepotea hivyo?

Jpili lazima tumtoe bibi akasherehekee umama na birthday yake....

Unakaribishwa maeneo ya Chumbageni Ta!
 
Last edited by a moderator:
Dark City kwanza najua I owe you an apology...............

pili hongera sana sana kwa wawili wako hao na ukweli najiskia vibaya sijamjulia tena bi mkubwa buheri since you told me kuhusu afya yake. namwombea maisha marefu sana na bibi DC yeye mwambie baadoo kabisa..

nije kwa upande wangu, awali ya yote napenda sana kumshukuru kifua chuma wangu aliyenifanya mimi kuwa mama ukweli utabaki pale pale kwamba he leads others follow.
wanangu many kisses manake sina la kuwaambia ila nawashukuru sana kwa kunifanya niwe very responsible, and accountable kwao. nikikumbuka siku ya kwanza kifungua mimba ananinyonya sikuamini macho yangu pale MNH, na sikuendelea kuamini zaid siku alipotamka neno "a-mama" akijua ndo mama yaani ilinichukua miezi kadhaa kusahahu sauti yake maskion mwangu......kila nilipokaa nilikuwa naiskia ikiniita na mpaka leo i can tell niiskiapo sauti ya mwanangu ikilia hata kama ni katika kundi kubwa namna gani nitajua thats my son analia.

ontop of that kuna mwanamke mmoja tu duniani ambaye ukweli siwez kuacha kumfikiria, kwangu yeye ni zaid ya rafiki, mlezi, mwl, mchungaji,na mama si mwingine ila ni mama yangu mzaa chema........huyu yeye uzuri wake umepita wanawake woooteee duniani na kila miitwapo leo huwa namuombea heri na maisha marefuuu.

nitakuwa mchoyo wa fadhila nisipo mshukuru kwa dhati kabisa mama mkwe wangu, kwanza kwa upendo wake kwangu, pili kwa heshima na nafasi anipayo ambayo mimi naiona imezidi nafasi ya ukamwana, na mtoto..... barikiwa sana mwl mstaafu na Mungu aendelee kukupa mema ya nchi zaid na zaid. nakupongeza sana kwa kunizalia huyu kifua chuma.
 
Last edited by a moderator:
Teacher gfsonwin, mbona umepotea hivyo?

Jpili lazima tumtoe bibi akasherehekee umama na birthday yake....

Unakaribishwa maeneo ya Chumbageni Ta!

ahsante sana sana babuu usijali mie ntakamatia Simba mtoto ya jumamosi jion ili j2 niamkie huko.
 
Dark City kwanza najua I owe you an apology...............

pili hongera sana sana kwa wawili wako hao na ukweli najiskia vibaya sijamjulia tena bi mkubwa buheri since you told me kuhusu afya yake. namwombea maisha marefu sana na bibi DC yeye mwambie baadoo kabisa..

nije kwa upande wangu, awali ya yote napenda sana kumshukuru kifua chuma wangu aliyenifanya mimi kuwa mama ukweli utabaki pale pale kwamba he leads others follow.
wanangu many kisses manake sina la kuwaambia ila nawashukuru sana kwa kunifanya niwe very responsible, and accountable kwao. nikikumbuka siku ya kwanza kifungua mimba ananinyonya sikuamini macho yangu pale MNH, na sikuendelea kuamini zaid siku alipotamka neno "a-mama" akijua ndo mama yaani ilinichukua miezi kadhaa kusahahu sauti yake maskion mwangu......kila nilipokaa nilikuwa naiskia ikiniita na mpaka leo i can tell niiskiapo sauti ya mwanangu ikilia hata kama ni katika kundi kubwa namna gani nitajua thats my son analia.

ontop of that kuna mwanamke mmoja tu duniani ambaye ukweli siwez kuacha kumfikiria, kwangu yeye ni zaid ya rafiki, mlezi, mwl, mchungaji,na mama si mwingine ila ni mama yangu mzaa chema........huyu yeye uzuri wake umepita wanawake woooteee duniani na kila miitwapo leo huwa namuombea heri na maisha marefuuu.

nitakuwa mchoyo wa fadhila nisipo mshukuru kwa dhati kabisa mama mkwe wangu, kwanza kwa upendo wake kwangu, pili kwa heshima na nafasi anipayo ambayo mimi naiona imezidi nafasi ya ukamwana, na mtoto..... barikiwa sana mwl mstaafu na Mungu aendelee kukupa mema ya nchi zaid na zaid. nakupongeza sana kwa kunizalia huyu kifua chuma.

This is what we have been missing hapa MMU....punguza kupotea teacher wangu!

Mom anaendelea vizuri sana ingawa mwaka jana nilijua ndo mwisho wake.... Ila Mungu anatenda miujiza sana. She is stable now!

Umenikumbusha Mama mkwe....ukweli naye anastahili nafasi ya pekee kwani bila yeye Bibi DC asingekuwa alivyo!

Akina na mama waliopata nafasi na bahati kuleta uhai duniani mnastahili standing ovation kila siku!!
 
Upuuzi mtupu, yaani munapenda mama zenu mwaka mara moja ?

Waafrika acheni kuiga Wazungu. 
Sio kuiga wewe, watu wanawapenda wamama wao kila siku.

Je unataka kujua kwanini watu wanawapenda sana mama zao kupita kiasi? Hebu sikiliza ubeti wa kwanza kwa makini kisha ndio utajua kwanini -



 
Last edited by a moderator:
This is what we have been missing hapa MMU....punguza kupotea teacher wangu!

Mom anaendelea vizuri sana ingawa mwaka jana nilijua ndo mwisho wake.... Ila Mungu anatenda miujiza sana. She is stable now!

Umenikumbusha Mama mkwe....ukweli naye anastahili nafasi ya pekee kwani bila yeye Bibi DC asingekuwa alivyo!

Akina na mama waliopata nafasi na bahati kuleta uhai duniani mnastahili standing ovation kila siku!!

umeanza Babu.........ivi wewe huishi kunichokoa??

but to tell the truth..........sijui kwa wanawake wengine ila kwangu mama mkwe ni mtu wa pekee sana.

labda niseme nina bahati hivyo namshukuru sana Mungu manake sijawahi kuona dosari yyte toka kwake toka siku ya kwanza nilipoingia kwenye mji wake. alinikubali kama mtoto, mkwe na kama rafiki yake na mimi nilikubali kuwa hivyo kwake.

makosa ya kibinadamu huwa siyahesabu na ndio maana nasema namshukuru na nampenda sana sana sana Mungu amzidishie kila la heri na kumshibisha siku nyingi.
 
I am a Daughter and I love my mother. But most importantly, I am a Mother. I feel blessed to be both. Happy Mothers' Day to all the Mothers out there - keeping in mind that being a mother is much more than just being a biological mother. Baraka Tele kwenu!! :grouphug:
 
Kweli tupu, wababa tunawashukuru kwa kufanya ndoto zetu kuwa kweli. Afu sijui kama wanajua, yaani jamaa kila akisababisha kiumbe kuja duniani upendo unazidi. Sijui sababu na wao sura zao hubaki wa watoto? Wakati wa ujauzito ndio kabisa, ni mwendo wa 'mahaba niue', kuna siku nitafuata mtu kazini nikamsubirie:A S 13:
Na kwa wanaotafuta nawaombea wapate, ni furaha kuwa mama, sana sana.
ha haaaa, kuna siku mtu aliangaalia picha ya mwanangu mmoja akaniambia "hapa you have lost", nikatabasamu tu, hakujua natabasamu nini............ kile kitendo cha kuona chapa ya mtu kwenye sura ya mwanangu kinaleta tabasamu la nguvu
 
ha haaaa, kuna siku mtu aliangaalia picha ya mwanangu mmoja akaniambia "hapa you have lost", nikatabasamu tu, hakujua natabasamu nini............ kile kitendo cha kuona chapa ya mtu kwenye sura ya mwanangu kinaleta tabasamu la nguvu


Swali la kizushi,

Huwa unamweleza haya mhusika??
 
umeanza Babu.........ivi wewe huishi kunichokoa??

but to tell the truth..........sijui kwa wanawake wengine ila kwangu mama mkwe ni mtu wa pekee sana.

labda niseme nina bahati hivyo namshukuru sana Mungu manake sijawahi kuona dosari yyte toka kwake toka siku ya kwanza nilipoingia kwenye mji wake. alinikubali kama mtoto, mkwe na kama rafiki yake na mimi nilikubali kuwa hivyo kwake.

makosa ya kibinadamu huwa siyahesabu na ndio maana nasema namshukuru na nampenda sana sana sana Mungu amzidishie kila la heri na kumshibisha siku nyingi.
hongera sana dear kwa kupata mama mkwe wa hivyo......
Ni ngumu sana kupata binadamu ambaye unakaa naye miaka zaidi ya miwili na usione dosari yoyote toka kwake.
Nikikumbuka, mamangu tu ambaye alinibeba kwa tumbo lake miezi kadhaa na kunilea kwa mapendo yote mpaka sasa na uzee wangu huu bado tunakwaruzana hapa na pale, ingawa siyo serious issues. Mama mkwe wako ni wa kipekee, endelea kumwomba Mungu aendelee kuwa hivyo katika maisha yake yote, we need wakwe kama hao.
Nakusalimu sana rafiki, umepotea haswaaaa
 
Anajua.......
Uzuri sisi ni marafiki saaanaaaaaa, yaani hatuna ule ubaba/mama...... tuna urafiki.
Kwa hiyo ni rahisi sana kuongea kwa kila mmoja kwa mazuri na hata yale mabaya ambayo huwa yanatukumba.


Hongereni sana....

Kuna wengine wanayasema nje ila hawathubutu kumwambie mhusika, jambo ambalo ni kupoteza motivation kwa mlengwa!
 
I am a Daughter and I love my mother. But most importantly, I am a Mother. I feel blessed to be both. Happy Mothers' Day to all the Mothers out there - keeping in mind that being a mother is much more than just being a biological mother. Baraka Tele kwenu!! :grouphug:

Hongera sana MERCIFUL,

Ni jambo la kumshukuru Mungu kwa kukupa hiyo nafasi ya kipekee.

Ubarikiwe pia!
 
Last edited by a moderator:
Hongereni sana....

Kuna wengine wanayasema nje ila hawathubutu kumwambie mhusika, jambo ambalo ni kupoteza motivation kwa mlengwa!
ha haaa, what is the use? yaani niumie kwa ajili yake halafu yeye asijue? lazima nimwambie ajue, ni haki yake kujua
 
Back
Top Bottom