mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,938
na pia bad wife ana uwezekano mkubwa wa kukusababishia umaskini....Kamwe huwezi linganisha umasikini na mwanamke mkorofi.
Umasikini ni ukosefu wa mahitaji yote muhimu kwenye maisha yako.
Mke mkorofi utamkwepa lakini umasikini haukwepeki.
Umasikini utakuua haraka kuliko huyo bad wife.
Bad wife anasababisha umasikini kivipi tena, wakati yeye kauliza umasikini na mke mkorofi yupi anakukill haraka??na pia bad wife ana uwezekano mkubwa wa kukusababishia umaskini....
bad wife akiwa anatumia pesa vibaya.... si analeta umaskini??Bad wife anasababisha umasikini kivipi tena, wakati yeye kauliza umasikini na mke mkorofi yupi anakukill haraka??
Acha kumuonea bad wife wa watu
Mwanamke mwenye akili na mtafutaji huleta utajiri bali mwanamke mpumbavu huleta karaha na umasikini.bad wife akiwa anatumia pesa vibaya.... si analeta umaskini??
umeshakubali.... bad wife analeta umaskini 😂mwanamke mpumbavu huleta karaha na umasikini.
Kama wewe utaparamia bad wife na kumuacha wife material,umeshakubali.... bad wife analeta umaskini
Sawa sawa mkuu, swali ni what kills man faster not what pains man most wengi wako nje ya swali.....Swali ni nn kinamuua mwanaume faster?
Bad Wife
bora kua single tu 😂Kama wewe utaparamia bad wife na kumuacha wife material,
Wacha upukutike tu hamna namna
Nakazia umasikini ni mbaya kuliko huyo bad wife.
Acha kukaza shingo mshamba_hachekwi.
Kua singo ni uoga wa chagamotobora kua single tu
changamoto za mapenzi hazina ladha 😂Kua singo ni uoga wa chagamoto
PovertyBetween poverty and bad wife who kills a man faster?...
Kuoa na kuka na mke ndo kipimo cha wanaume usiogope mkuu.changamoto za mapenzi hazina ladha
🚮🚮kujitegemea ndo kipimo cha mwanaumeKuoa na kuka na mke ndo kipimo cha wanaume usiogope mkuu.
Usije ukachumbiwa ukiwa peke yako mkuu tukakupoteza bure....kujitegemea ndo kipimo cha mwanaume
sijakuelewaUsije ukachumbiwa
Stay taliban.Mkuu, Vita ya UMASIKINI, ni vita kubwa kuliko ya nyuklia. kupambana nayo inahitaji Akili, Maarifa, Utulivu, Busara, Ibada, Bahati, Ubunifu, Kujituma, Nidhamu(Ya hali ya juu), Stress, kukataliwa, consistence na mengine kibao.
Umasikini una gharama za kupambana nao, kisha gharama za kuzuia usikurudie huku ukiendelea kupambana nao hadi unaingia kaburini.
Acha kuweka kundi moja UMASIKINI na vitu vya kipuuzi.
Be a Man.
usije akatongozwa na wenye pesa zao wakakubadili ukawa mke wao.sijakuelewa
mimi ni mwanaume.usije akatongozwa na wenye pesa zao wakakubadili ukawa mke wao.