Most dangerous things to man

Most dangerous things to man

bad wife kivipi, sura ama tabia..??? achaga kukurupuka uandikapo/uanzishapo mada
A bad and ugly wife are different. I think ugly wife is better than a bad wife
 
Jama wa utelezi loh......., hujawahi kuishi na mke kichomi.....
Hakunaga mwanamke kichomi tatizo ni we mwanaume kutaka mwanamke aishi the way unavyofkri , wanawake wanalyfe style Lao Iko hvyo na hawawezi badrika kamwe ... Kama mwanamke wako anazini na ni mchawi hayo ndo maeneo mawili yenye mashiko katika suala la kuachana naye
 
Between poverty and bad wife who kills a man faster?...
Mkuu, Vita ya UMASIKINI, ni vita kubwa kuliko ya nyuklia. kupambana nayo inahitaji Akili, Maarifa, Utulivu, Busara, Ibada, Bahati, Ubunifu, Kujituma, Nidhamu(Ya hali ya juu), Stress, kukataliwa, consistence na mengine kibao.

Umasikini una gharama za kupambana nao, kisha gharama za kuzuia usikurudie huku ukiendelea kupambana nao hadi unaingia kaburini.

Acha kuweka kundi moja UMASIKINI na vitu vya kipuuzi.

Be a Man.
 
Back
Top Bottom