The Stress Challengerr
JF-Expert Member
- Jan 18, 2020
- 2,478
- 6,764
Ayatolah anaumwa na he may die soon ila sio kazi ya mossad.
Iyo picha ni ya zamani hata kabla haumwi. Ni kulialia lia tu. Amejitakia mwenyewe. Vita vyake MUNGU nani anaweza kushinda?Ayatolah anaumwa na he may die soon ila sio kazi ya mossad.
Iyo picha ni ya zamani hata kabla haumwi. Ni kulialia lia tu. Amejitakia mwenyewe. Vita vyake MUNGU nani anaweza kushinda?
NDIOWe vp mtu anamiaka 81 we utafika huko?
Yeye si anajidai kama Mungu analia nini sasa.We vp mtu anamiaka 81 we utafika huko?
Huwa vijana wa nchi yake wakiua anatamka maneno ya kishujaa kweli.Wa kwake wakishikishwa adabu analia.Hebu jazia nyama uzi wako, baadhi nina amini hatujaelewa kinachoendelea kutokana na ulichotuwekea.
Unajuwa kitu unakiandika? Kasome vizuriAyatolah anaumwa na he may die soon ila sio kazi ya mossad.