acha mkuu uliza uambiwe
acha mkuu sitaki kusema mengi
Jamani mbona kaaz!!! Haya tuambie huo moshi waingizwaje humo? Mambo mengine hata MziziMkavu si rahisi akufundishe hayo dah!
Ahaaaaaa niliona clip fulan wanaweka mgagani ukeni. Loh uke unaungwa kama mboga
Dokta mwaka aje na dawa ya kuwasaidia wanaume wa siku hizi.
Vidushe vinukta alafu wanalalamika mabwawa.
sio bangi tuu huku kwetu! kuna akina dada wananawa ukeni kwa kitumia pombe aina ya gongo au konyagi.
ndo mana machizi wanaongezeka mitaani... kumbe mnavutishwa bangi kwa njia za kisasa!!!