FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,063
- 40,724
Tubuni, na mkamilishe bwawa la Nyerere kama redemption
Walioongoza Huu Unyama Wasakwe Na Sheria Zifate Mkondo Wake.
Unawezaje Kumkatakata Mapanga Mdogo Wao Wa Hao Watuumiwa Wa Wizi?
Hilo eneo mpka umbwe kuna wakora sana,zamani waliua mpka padri hapo kwa raphael manuHiyo taarifa ni kweli. Mara nyingine ni watu wenye hasira waliochoka na dhuluma. Kuwapata ni kazi sana.
Hayo maeneo hutokea watukutu walioshindikana hata polisi.
Sasa ikitokea wamechinjwa dah...
Au kuondoa uhai wa mtu kwa milioni 70 tuu daah...Wizi ni mbaya ila kuondoa uhai wa mtu hapana
Yesuuuu na Maria!!Huko ni Nyumbani kwetu.
Actually, mob justice ya aina hii imedumu toka enzi.
Kuna mmoja aliwahi kukatwa sikio na plaiz (pliers) na kuamriwa alitafune.
Matukio kama haya yalinifunza mengi sana ikiwemo kuheshimu kitu cha mtu na kuacha udokozi.
Manushi Kati, Manushi Sinde, Manushi Mashariki na Manushi Ndoo ni vijiji katika Kata ya Kibosho Magharibi, Tarafa ya Kibosho, Wilaya ya Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro.
Raia wa huko wana misimamo mikali sana.
Hawasomagi content mkuu wanasoma heading na kukimbilia ku comment"Wanakijiji wamefurahi kutokana na kuchoshwa na tabia ya ujambazi ya vijana hao" sijui kama ulisoma hapo!
Halafu unakuta kuna mpumbavu mmoja anajifanya anajua sana haki za binadamu anawatetea hawaHao vijana vijana nawapata ni watoto wa Kasamu. Walishawahi kumpiga panga la kichwa Mzee mmoja hapo jirani na kwao. Yule Mzee akadetoriate mpaka akaparlalyse.Huyo Mzee alifariki 2019 na msiba nilishiriki. Pia waliua mama mmoja wakapelekwa polisi wamekaa kidogo wakatoka. Wana matukio mengi Sana in the span of 20 -15 years. Kama kuvumiliwa wamevumiliwa Sana. Ilikuwa inahitajika mmoja a initiate Ili wengine washiriki kuwaangamiza.Sijataja majina ya victims wa hawa wezi kulinda heshima zao.
AwamuPoleni sana hila kuna vijiji viwili tuu Manushi sinde na Manushi Ndoo basi
Dah umenikumbusha mbali sana, hilo tukio lilitokea miaka ya 90. HatariHilo eneo mpka umbwe kuna wakora sana,zamani waliua mpka padri hapo kwa raphael
Kumbe kwenu huko?Huko ni Nyumbani kwetu.
Actually, mob justice ya aina hii imedumu toka enzi.
Kuna mmoja aliwahi kukatwa sikio na plaiz (pliers) na kuamriwa alitafune.
Matukio kama haya yalinifunza mengi sana ikiwemo kuheshimu kitu cha mtu na kuacha udokozi.
Manushi Kati, Manushi Sinde, Manushi Mashariki na Manushi Ndoo ni vijiji katika Kata ya Kibosho Magharibi, Tarafa ya Kibosho, Wilaya ya Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro.
Raia wa huko wana misimamo mikali sana.
Hao madogo walishashindikana.Mkuu shida sio kuiba piki piki.unaeza kuta ndo wale wa kuiba kujerui ikiwezekana kuua kabisa.sasa watu kama hao mtaani huogopeka sana na hawaguswag.so.katika hilo.kunamengi.ukiibiwa na kujeruhiwa.ndo utaelewa kwa nini wananch washangilie.japo wamefanya ukatili...
Huyo mzee namfahamu.Hao vijana vijana nawapata ni watoto wa Kasamu. Walishawahi kumpiga panga la kichwa Mzee mmoja hapo jirani na kwao. Yule Mzee akadetoriate mpaka akaparlalyse.Huyo Mzee alifariki 2019 na msiba nilishiriki. Pia waliua mama mmoja wakapelekwa polisi wamekaa kidogo wakatoka. Wana matukio mengi Sana in the span of 20 -15 years. Kama kuvumiliwa wamevumiliwa Sana. Ilikuwa inahitajika mmoja a initiate Ili wengine washiriki kuwaangamiza.Sijataja majina ya victims wa hawa wezi kulinda heshima zao.
Kwa mzee pius nilipita hapo kuchukua mahindi mwaka jana mwezi wa 3.Unaishi sehemu gani bush mamy mi ni jirani na hapo kwa Kasamu nimepakana na kwa marehemu Mzee pius
Hiyo 'mob justice' ni uhalifu na uvunjaji wa sheria.Inasemekana vijana walikuwa wameshindikana kabisa hapo kijijini na maeneo jirani
Sent from my TECNO LB7 using JamiiForums mobile app
Dah!...so sad.Hao vijana vijana nawapata ni watoto wa Kasamu. Walishawahi kumpiga panga la kichwa Mzee mmoja hapo jirani na kwao. Yule Mzee akadetoriate mpaka akaparlalyse.Huyo Mzee alifariki 2019 na msiba nilishiriki. Pia waliua mama mmoja wakapelekwa polisi wamekaa kidogo wakatoka. Wana matukio mengi Sana in the span of 20 -15 years. Kama kuvumiliwa wamevumiliwa Sana. Ilikuwa inahitajika mmoja a initiate Ili wengine washiriki kuwaangamiza.Sijataja majina ya victims wa hawa wezi kulinda heshima zao.
Sijui kichaga lakini.Yan tunaongea lugha moja kabisa mmbe
Ukitaka kuishi kwa amani bila hiana na mtu, heshimu vitu vya watu.Pikipiki ni uchafu huwezi kulinganisha na uhai wa binadamu, hao wanakijiji wasakwe na wakamatwe wafikishwe mahakamani kujibu mashtaka ya kujichukulia sheria mkononi iwe fundisho kwa wananchi wenye hiyo tabia katika jamii
Poleni. Vijana wa huko wakiwa wahuni basi ni uhuni ulioshindikana na wakiuwawa kesi hamnaKumbe kwenu huko?
Hapo kwa kina Kassam ni jirani kabisa.
Wamevunja nyumba yetu na kuiba sana wakati hatupo.