Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,370
- 11,088
Wakibosho Safari hii mmetuangusha, toka enzi za mababu Mangi Sina, Wanachame hawaruhusiwi kuingia Kibosho kufanya lolote hata kwa Vita.Na hao vijana walishindikana hadi polisi
Sasa mmeshapoteza vibosho watatu, wakati hamna ubavu kuvuka mto kwenda Machame
Kosa kubwa kuua