Moshi: Vifo vya Watanzania 20 madhabahuni, RPC Salum Hamduni anahusika. Akamatwe!

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,890
Vifo vya Watanzania 20 huko Moshi, ni uzembe wa Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro, Salum Hamduni.

Huyu Hamduni ndiye katoa kibali cha kufanyika mkutano na akaahidi usalama wa wa watu na mali zao vitakuwa salama.

Muda wote Mwamposa alijua mambo yapo poa na Polisi wapo wa kutosha wa kuhakikisha watu wanatulizana.

Kwanini Salum hukupeleka Askari wa kutosha?

Kwanini hukuzuia mkutano kwasababu hukua na askari wa kutosha wa kulinda mkutano?

Kwanini taarifa za Kiintelejensia hujazifanyia kazi hadi tumepoteza wapendwa wetu?

Kwanini hamsemi ukweli kwamba watu wamekufa kwa kukanyagana badala yake mnasema Makanisa ya kiroho yanahubiri uongo? Mambo ya imani yanahusiana vipi na watu kukanyagana?

Kukanyagana inasababishwa na watu kuwa wengi. Hata mazishi yaQasem Soleimani huko Iran, watu 50 Walifariki na wengine 200 kujeruhiwa baada ya kukanyagana, je ilikuwa ni ilisababishwa na Walokole?

Hivi karibuni zaidi ya Mahujaji 717 baada ya kutokea makanyagano karibu na mji mtakatifu wa Makka, Saudi Arabia. Je nao ni Walokole?

Kukanyagana haihusiani ni imani ya mtu bali ni wanausalama kutojipanga kusimamia utaratibu.

Huu ni Uzembe kazini, namuomba IGP Sirro akitumbue na kukushusha cheo.

Mikutano ya kisiasa umekua ukisema huna Askari wa kutosha unakataza mkutano, Sijui una taarifa za kiintelejensia unasitisha mikutano.

Uzembe wako ndo umeua watu. Nashangaa kuona bado upo Ofisini.

Unamtafuta Mwamposa ndo mwenye dhamana ya kulinda raia na Mali zao?

Hii kesi ni ya Polisi. Kwanini mlitoa kibali?

Au Polisi walimtega Baba Mwamposa ili kuchafua kanisa lake?

Haya Mambo ya kufa kwa kukanyagana nayasikia huko Maka sio Moshi.

Rais Magufuli kwa Mamlaka uliyopewa, Ikifika Jumanne huyu RPC wa Kilimanjaro hajachukuliwa hatua, Tumia Mamlaka uliyopewa na katiba kumuondoa Ofisini IGP Sirro na apangiwe kazi nyingine.

Polisi wanajua kusingizia sana. Tunaomba rais utusaidie ili kuwakumbusha iwajibikaji.

Rais Magufuli Sekta zote uwajibikaji upo isipokuwa Polisi tu.

Tunataka kujua kwanini Askari hawajapelekwa kulinda mkutano wakati wametoa kibari?

Mwamposa hana kosa. Mwamposa alitakiwa kulindwa yeye na Waumini wake.

Uzembe wa Polisi kulinda Mikutano ya Kiroho ndo sababu wanaamua kujilinda wenyewe.

Tunataka uwajibikaji
 
Una uhakika hakukuwa na polisi pale kweli? utaratibu unasemaje kwenye ibada? na utaratibu unasemaje kwenye matamsha ya muziki?
Ule ulikuwa mkutano wa ainjili. Polisi walitakiwa walinde kuhakikisha Usalama. Jeshi la zima moto na ukoaji hawakwwpi kikombe hiki. Ilitakiwa watumie hata drone kujua wapi kuna mkusanyiko mkubwa wausambalatishe
 
Ni wakati muafaka wa kuiwajibisha serikali kwa kuwafanya watu waishi kwa kutegemea matapeli wa imani na miujiza...!
Polisi hapa mtawaonea tu bure!
Serikali inahusika moja kwa moja kwa kuwafanya watu wawe na maisha magumu...
Haya mambo yangeyokea kule Chato au kule Kolomije labda ningejitahidi kuelewa...
Lakini kwa akina Mangi kabisa...!!!
Noooo! Serikali inahusika!

NB: Alafu jamani tumieni akili hata za kukodi... Yaani inakuwaje unamtafuta MUNGU kupitia kwa watu wengine wakati wewe ni kiumbe wake...??
Yeye si ndo aliekuumba? Anajua yote unayopitia kabla hujayapitia! Anajua jinsi ya kutenda kwa wakati wake!
Sa si ni bora zaidi ukakaa na MUNGU karibu myajenge kuliko kukimbilia kwa matapeli wa imani na miujiza!
Kwa MUNGU wa kweli hakuna short cuts!!

Think twice my people!!
 
Hao polisi mtakuwa mnawaonea wakati mmewapa Amri kuwa Wawafuatilie wapinzani kila kona
Mambo ya kukanyagana hayawahusu
Tukio la ajabu linatokea kwenye jamii inayosemekana kustaarabika kuliko wote katika nchi hii. Jamii iliyoelimika na yenye uwezo wa kuchambua mahubiri ya uongo na ukweli. Kama ni hivi, Hatimaye nakaribia kuamini mapungufu ya elimu ya makaratasi tunayokaririshwa kuanzia chekechea hadi versity.
 
Vifo vya Watanzania 20 huko Moshi, ni uzembe wa Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro, Salum Hamduni.

Huyu Hamduni ndiye katoa kibali cha kufanyika mkutano na akaahidi usalama wa wa watu na mali zao vitakuwa salama.

Muda wote Mwamposa alijua mambo yapo poa na Polisi wapo wa kutosha wa kuhakikisha watu wanatulizana.

Kwanini Salum hukupeleka Askari wa kutosha?

Kwanini hukuzuia mkutano kwasababu hukua na askari wa kutosha wa kulinda mkutano?

Kwanini taarifa za Kiintelejensia hujazifanyia kazi hadi tumepoteza wapendwa wetu?

Kwanini hamsemi ukweli kwamba watu wamekufa kwa kukanyagana badala yake mnasema Makanisa ya kiroho yanahubiri uongo? Mambo ya imani yanahusiana vipi na watu kukanyagana?

Kukanyagana inasababishwa na watu kuwa wengi. Hata mazishi yaQasem Soleimani huko Iran, watu 50 Walifariki na wengine 200 kujeruhiwa baada ya kukanyagana, je ilikuwa ni ilisababishwa na Walokole?

Hivi karibuni zaidi ya Mahujaji 717 baada ya kutokea makanyagano karibu na mji mtakatifu wa Makka, Saudi Arabia. Je nao ni Walokole?

Kukanyagana haihusiani ni imani ya mtu bali ni wanausalama kutojipanga kusimamia utaratibu.

Huu ni Uzembe kazini, namuomba IGP Sirro akitumbue na kukushusha cheo.

Mikutano ya kisiasa umekua ukisema huna Askari wa kutosha unakataza mkutano, Sijui una taarifa za kiintelejensia unasitisha mikutano.

Uzembe wako ndo umeua watu. Nashangaa kuona bado upo Ofisini.

Unamtafuta Mwamposa ndo mwenye dhamana ya kulinda raia na Mali zao?

Hii kesi ni ya Polisi. Kwanini mlitoa kibali?

Au Polisi walimtega Baba Mwamposa ili kuchafua kanisa lake?

Haya Mambo ya kufa kwa kukanyagana nayasikia huko Maka sio Moshi.

Rais Magufuli kwa Mamlaka uliyopewa, Ikifika Jumanne huyu RPC wa Kilimanjaro hajachukuliwa hatua, Tumia Mamlaka uliyopewa na katiba kumuondoa Ofisini IGP Sirro na apangiwe kazi nyingine.

Polisi wanajua kusingizia sana. Tunaomba rais utusaidie ili kuwakumbusha iwajibikaji.

Rais Magufuli Sekta zote uwajibikaji upo isipokuwa Polisi tu.

Tunataka kujua kwanini Askari hawajapelekwa kulinda mkutano wakati wametoa kibari?

Mwamposa hana kosa. Mwamposa alitakiwa kulindwa yeye na Waumini wake.

Uzembe wa Polisi kulinda Mikutano ya Kiroho ndo sababu wanaamua kujilinda wenyewe.

Tunataka uwajibikaji
Wamekufa kwa ujinga wao, alafu ukome ujinga kusema wamekufa madhabahuni as of Mungu ametolewa kafara kama unamanisha madhabai ya kushetani hapo sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona watu wansjitoa ufahamu,sio kwamba watu walikuwa wengi kivile,mchungaji kamwaga mafuta pale mbele eneo la ukubwani wa hatua mbili,Kisha anaamuru watu wakanyage pale bill mpango ama kupanga foleni,
Alijua reaction Ni Kama alikusudia kuua yule,unaamuru vipi watu 100 kupigania kitu kilichotoko eneo la hatua mbili za mraba?
 
Ule ulikuwa mkutano wa ainjili. Polisi walitakiwa walinde kuhakikisha Usalama. Jeshi la zima moto na ukoaji hawakwwpi kikombe hiki. Ilitakiwa watumie hata drone kujua wapi kuna mkusanyiko mkubwa wausambalatishe
Unapelekaje polisi wengi kwenye mkutano wa kiroho? Mikutano kama hiyo huwa inalindwa na roho mtakatifu. Wasilaumiwe polisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili tukio linawahusu pilisi moja kwa moja wala hawawezi kulikwepa hili jukumu.
Wanajua wazi kwamba Moshi ni eneo la chadema na kwamba hawachwlewi kufanya fujo, waliwezaje kutoa kibali cha mahubiri bila kwanza kuangalia interejensia yao????
Wasitutanie bhana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vifo vya Watanzania 20 huko Moshi, ni uzembe wa Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro, Salum Hamduni.

Huyu Hamduni ndiye katoa kibali cha kufanyika mkutano na akaahidi usalama wa wa watu na mali zao vitakuwa salama.

Muda wote Mwamposa alijua mambo yapo poa na Polisi wapo wa kutosha wa kuhakikisha watu wanatulizana.

Kwanini Salum hukupeleka Askari wa kutosha?

Kwanini hukuzuia mkutano kwasababu hukua na askari wa kutosha wa kulinda mkutano?

Kwanini taarifa za Kiintelejensia hujazifanyia kazi hadi tumepoteza wapendwa wetu?

Kwanini hamsemi ukweli kwamba watu wamekufa kwa kukanyagana badala yake mnasema Makanisa ya kiroho yanahubiri uongo? Mambo ya imani yanahusiana vipi na watu kukanyagana?

Kukanyagana inasababishwa na watu kuwa wengi. Hata mazishi yaQasem Soleimani huko Iran, watu 50 Walifariki na wengine 200 kujeruhiwa baada ya kukanyagana, je ilikuwa ni ilisababishwa na Walokole?

Hivi karibuni zaidi ya Mahujaji 717 baada ya kutokea makanyagano karibu na mji mtakatifu wa Makka, Saudi Arabia. Je nao ni Walokole?

Kukanyagana haihusiani ni imani ya mtu bali ni wanausalama kutojipanga kusimamia utaratibu.

Huu ni Uzembe kazini, namuomba IGP Sirro akitumbue na kukushusha cheo.

Mikutano ya kisiasa umekua ukisema huna Askari wa kutosha unakataza mkutano, Sijui una taarifa za kiintelejensia unasitisha mikutano.

Uzembe wako ndo umeua watu. Nashangaa kuona bado upo Ofisini.

Unamtafuta Mwamposa ndo mwenye dhamana ya kulinda raia na Mali zao?

Hii kesi ni ya Polisi. Kwanini mlitoa kibali?

Au Polisi walimtega Baba Mwamposa ili kuchafua kanisa lake?

Haya Mambo ya kufa kwa kukanyagana nayasikia huko Maka sio Moshi.

Rais Magufuli kwa Mamlaka uliyopewa, Ikifika Jumanne huyu RPC wa Kilimanjaro hajachukuliwa hatua, Tumia Mamlaka uliyopewa na katiba kumuondoa Ofisini IGP Sirro na apangiwe kazi nyingine.

Polisi wanajua kusingizia sana. Tunaomba rais utusaidie ili kuwakumbusha iwajibikaji.

Rais Magufuli Sekta zote uwajibikaji upo isipokuwa Polisi tu.

Tunataka kujua kwanini Askari hawajapelekwa kulinda mkutano wakati wametoa kibari?

Mwamposa hana kosa. Mwamposa alitakiwa kulindwa yeye na Waumini wake.

Uzembe wa Polisi kulinda Mikutano ya Kiroho ndo sababu wanaamua kujilinda wenyewe.

Tunataka uwajibikaji
Sijui kwanini nawewe hujafa kwa kukanyagwa?
Angamieni tu kwa kukosa maarifa shenzi kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom