Hello Jf members!
Mji wa Moshi ni safi, ni msafi sana, Lakini Arusha ni mchafu sana.
Mji wa Moshi kuna mpangilio mzuri wa Barabara na nyumba wakati Arusha barabara zipo shaghalabaghala na nyumba msongamano, kupita kwenda nyumbani kwa mtu unapita vichochoroni.
Arusha na Moshi yote ni miji ya Kitalii, lakini Arusha unavuma zaidi.
Manispaa ya Arusha inapata makusanyo ya kodi nyingi kuliko Moshi, why Arusha iwe dirty???
Stand ya Moshi ni nzuri na inanafasi while Arusha is pity.....
Nani mzembe, madiwani? Mbunge? Halmashauri? Mkurugenzi? Mkuu wa Mkoa? Au nani alaumiwe?
Why Moshi clean and Arusha dirty??
Wachaga wanajivunia kulipa kodi maana matunda wanayaona!!!
From Arusha to Moshi is just an hour travel.....
HIYO NDIYO GENEVA OF AFRICA....
Mji wa Moshi ni safi, ni msafi sana, Lakini Arusha ni mchafu sana.
Mji wa Moshi kuna mpangilio mzuri wa Barabara na nyumba wakati Arusha barabara zipo shaghalabaghala na nyumba msongamano, kupita kwenda nyumbani kwa mtu unapita vichochoroni.
Arusha na Moshi yote ni miji ya Kitalii, lakini Arusha unavuma zaidi.
Manispaa ya Arusha inapata makusanyo ya kodi nyingi kuliko Moshi, why Arusha iwe dirty???
Stand ya Moshi ni nzuri na inanafasi while Arusha is pity.....
Nani mzembe, madiwani? Mbunge? Halmashauri? Mkurugenzi? Mkuu wa Mkoa? Au nani alaumiwe?
Why Moshi clean and Arusha dirty??
Wachaga wanajivunia kulipa kodi maana matunda wanayaona!!!
From Arusha to Moshi is just an hour travel.....
HIYO NDIYO GENEVA OF AFRICA....