Moshi town is very clean while Arusha town very dirty

MPadmire

JF-Expert Member
Mar 7, 2006
3,928
3,225
Hello Jf members!

Mji wa Moshi ni safi, ni msafi sana, Lakini Arusha ni mchafu sana.

Mji wa Moshi kuna mpangilio mzuri wa Barabara na nyumba wakati Arusha barabara zipo shaghalabaghala na nyumba msongamano, kupita kwenda nyumbani kwa mtu unapita vichochoroni.

Arusha na Moshi yote ni miji ya Kitalii, lakini Arusha unavuma zaidi.

Manispaa ya Arusha inapata makusanyo ya kodi nyingi kuliko Moshi, why Arusha iwe dirty???

Stand ya Moshi ni nzuri na inanafasi while Arusha is pity.....

Nani mzembe, madiwani? Mbunge? Halmashauri? Mkurugenzi? Mkuu wa Mkoa? Au nani alaumiwe?

Why Moshi clean and Arusha dirty??

Wachaga wanajivunia kulipa kodi maana matunda wanayaona!!!

From Arusha to Moshi is just an hour travel.....

HIYO NDIYO GENEVA OF AFRICA....
 
clean then what! kwani watu wanakula usafi? mi mtu wa kule ila maisha yamepinda. no money. si bora nikaishi huko kwenye uchafu lakini napata hela? uchafu unazalishwa kutokana na pilika za kiuchumi kuwa juu. wahongere lakini kwa usafi. wasikose vyote
 
mkuu ni kweli a town ni pachafu sana, watawala wake wangeiga majirani zao angalau....
 
clean then what! kwani watu wanakula usafi? mi mtu wa kule ila maisha yamepinda. no money. si bora nikaishi huko kwenye uchafu lakini napata hela? uchafu unazalishwa kutokana na pilika za kiuchumi kuwa juu. wahongere lakini kwa usafi. wasikose vyote

Yaani kukojoa hovyo kandoni mwa kuta za nyumba , kutupa maganda ya maparachichi , ndizi na miwa barabarani ni pilika za kiuchumi kihivyo? Acha bana. Mimi nilidhani umaskini na uchafu havitenganiki saana . Walioendelea wanajua maana ya usafi zaidi bila shaka. Ili kukutathmini ukoje kiuchumi tunaweza kuangalia level yako ya usafi ikoje pia.

Kwanza jiulize wenyeji wa mji na wenzao wa Meru na Masai kama wanafahamu vizuri tofauti ya usafi na uchafu. Ebo.

Manisapaa imelala doro. Kwishnei. Wakaige huko KILI.

MS hongereni sana .
 
Yaani kukojoa hovyo kandoni mwa kuta za nyumba , kutupa maganda ya maparachichi , ndizi na miwa barabarani ni pilika za kiuchumi kihivyo? Acha bana. Mimi nilidhani umaskini na uchafu havitenganiki saana . Walioendelea wanajua maana ya usafi zaidi bila shaka. Ili kukutathmini ukoje kiuchumi tunaweza kuangalia level yako ya usafi ikoje pia.

Kwanza jiulize wenyeji wa mji na wenzao wa Meru na Masai kama wanafahamu vizuri tofauti ya usafi na uchafu. Ebo.

Manisapaa imelala doro. Kwishnei. Wakaige huko KILI.

MS hongereni sana .

uchumi kuzaa uchafu ina maana ya wingi wa watu na pilika za maisha kama ilivyo bongo. moshi ni safi baada ya wakazi kupungua na maisha kuwa ghali. manispaa ya moshi inafanya juu chini kujipatia kipato kutokana na vyanzo vya kuwawinda wachafuzi wa mazingira
 
uchumi kuzaa uchafu ina maana ya wingi wa watu na pilika za maisha kama ilivyo bongo. moshi ni safi baada ya wakazi kupungua na maisha kuwa ghali. manispaa ya moshi inafanya juu chini kujipatia kipato kutokana na vyanzo vya kuwawinda wachafuzi wa mazingira

Poa.Lakini huo uchafu huthibitiwa kwa kuwa fedha ipo kama ilivyo huko kwingine ulimwenguni. Garbage management and collection - cleaner environments -etc. SASA ARUSHA WALA HAWATHIBITI CHOCHOTE NA HELA HAWANA. SI WATUMIE HIYO KAMA NJIA YA MAPATO KAMA ULIVYOSEMA?

USAFI NI USTAARABU MKUU, HAMNA CHA KUWATETEA .
 
Poa.Lakini huo uchafu huthibitiwa kwa kuwa fedha ipo kama ilivyo huko kwingine ulimwenguni. Garbage management and collection - cleaner environments -etc. SASA ARUSHA WALA HAWATHIBITI CHOCHOTE NA HELA HAWANA. SI WATUMIE HIYO KAMA NJIA YA MAPATO KAMA ULIVYOSEMA?

USAFI NI USTAARABU MKUU, HAMNA CHA KUWATETEA .

sure ila wangeshafanya hivyo kama wangetaka
 
clean then what! kwani watu wanakula usafi? mi mtu wa kule ila maisha yamepinda. no money. si bora nikaishi huko kwenye uchafu lakini napata hela? uchafu unazalishwa kutokana na pilika za kiuchumi kuwa juu. wahongere lakini kwa usafi. wasikose vyote
Cleanliness is a virtue!
 
Back
Top Bottom