The iron batterfly
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 1,952
- 2,527
Kituo Cha mafuta ndio Cha mwanzo,na kimekuwepo eneo lile kwa miongo kadhaa,hiyo baa haikuwa hata na miaka 5 hapo . Anyways wenye mji wakigombana wacha chasaka tukae kimya,kwani tusijeonekana tunaingilia yasiyotuhusuMbona baa nyingi ziko karibu na vituo vya mafuta! Nani alianza kuwepo, kituo au baa? Mbona vituo vya mafuta vimejengwa kwenye makazi ya watu? Aende mahakamani huko itajulikana kama chanzo ni nyamachoma au mdada.