MOSHI: Serikali yaifunga bar maarufu ya Meku's Bistro

MOSHI: Serikali yaifunga bar maarufu ya Meku's Bistro

Kinachoendelea nyuma ya pazia kinatisha sana. Wahusika wanasema ni suala lililojaa visa, mikasa na visasi. Ni issue ya ama zangu au zako.

Panapofuka moshi basi chini kuna moto.
Muda utatoa majibu.
Nasikia mwenye nayo ni choko. Labda watu hawapendi hiyo mambo hivyo kutafuta sababu.
 
Nasikia mwenye nayo ni choko. Labda watu hawapendi hiyo mambo hivyo kutafuta sababu.
Mbona mekuu..aka mangi bristo leo kili marathoni imejaa pomoni...au ndo mataifa ya magharibi......hili nalo ni kaburi..rip ruge
 
Wameongeza kosa jingine kwamba iko karibu na kiyuo cha mafuta sasa atapanuaje?
Ni kitu kinafichwa na kinasadifu uonevu....... mbona vituo vyote vya mafuta vya Total vina mikahawa au ni mimi ndo sijaielewa hiyo barua
 
Mwenyeww ni muajiriwa wakampuni moja ya magari ya kimataifa mkazi wa dar! Ila ndio hivyo kidole juu!
Si ndo meku hapa au?..dah kweli walimpania
IMG-20190509-WA0004.jpeg
 
Usimshangae...huyo ni mpinzani....kishajenga hoja hpo ndio anaipeleka ikajadiliwe na kikao cha juu cha chama chake ili kesho waite wanahabari kulaani....
Angekuwa na akili singekimbilia kusema figisu....kwenye jambo lenye athari kwa wengi
Manispaa ya moshi inaongozwa na chadema
 
Ooh amefungiwa kweli? Lini?
Nimeona watu walikuwa hapo hadi mwezi uliopita 28/04. Nawafahamu owner na ndugu zake.

Wameifunga kwa sababu hizo za post #1 au?
Imefungwa....kampuni ya mafuta ya Oryx ndio inamiliki hilo eneo..meku alikua opareta wa hiyo p.station na club. Oryx wamefuta mkataba na meku....
 
Hakuna siasa hapo. ....Oryx wamiliki wa eneo hilo wamesitisha mkataba na 'meku'
 
Familiya nyingi zitaingia matatizoni kwa kufunga hiyo biashara maisha magumu sana si wangekaa chini waone walitatuaje hili?
 
Back
Top Bottom