Jurrasic Park
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 3,833
- 6,889
Pale pazuri sana aisehhh labda apanue au apejengee kabisa na aweke sound proof
Wameongeza kosa jingine kwamba iko karibu na kiyuo cha mafuta sasa atapanuaje?Pale pazuri sana aisehhh labda apanue au apejengee kabisa na aweke sound proof
Wameongeza kosa jingine kwamba iko karibu na kiyuo cha mafuta sasa atapanuaje?
Kati ya bar na kituo cha mafuta, nani aliyeanza biashara? Kwahiyo anatakiwa kufunga kwa sababu ya mazingira hatarishi si kwa sababu ya kelele.
Usimshangae...huyo ni mpinzani....kishajenga hoja hpo ndio anaipeleka ikajadiliwe na kikao cha juu cha chama chake ili kesho waite wanahabari kulaani....
Angekuwa na akili singekimbilia kusema figisu....kwenye jambo lenye athari kwa wengi
Una uhakika? Una uhakika sio figisu au unaropoka tuUsimshangae...huyo ni mpinzani....kishajenga hoja hpo ndio anaipeleka ikajadiliwe na kikao cha juu cha chama chake ili kesho waite wanahabari kulaani....
Angekuwa na akili singekimbilia kusema figisu....kwenye jambo lenye athari kwa wengi
SIKU HIZI MOSHI PANA CLUB NYINGI SANA WALA USISIKITIKE KWA KUFUNGWA SEHEMU MOJA COZ BADO KUNA CLUB INATAMBA SANA MOSHI INAITWA RED STONE, BADO KUNA KILL HOME KUNA HUGGO'S KUNA BLACK DIAMOND KWA KWELI KWA SASA CLUB NI NYINGI SANA NA MJI UMEKUA TOFAUTI NA ENZI HIZO UNAZOSEMEAMoshi mjini ni padogo sana, miaka ile nikiwa nasoma siku za mwisho wa mwezi tunaachiwa kwenda kutembea mjini. Yaani kuanzia asubuhi ikifika saa saba mchana tushamaliza maduka yote kwa maana moja baada ya jingine. Hapo ni mjini.
Hiyo ilikuwa miaka hiyooo siku hizi natumai patakuwa pametanuka vilivyo.
Mme taja habari ya club na panapigwa mziki na panabamba. ... mnenipa ashiki ya kwenda hapo nami nikakate kiu iliyonishika. Ila kama kweli pakifungwa kabla sijaenda ntasikitikaaa. Ntaishia kwenda Arusha.
SIKU HIZI MOSHI PANA CLUB NYINGI SANA WALA USISIKITIKE KWA KUFUNGWA SEHEMU MOJA COZ BADO KUNA CLUB INATAMBA SANA MOSHI INAITWA RED STONE, BADO KUNA KILL HOME KUNA HUGGO'S KUNA BLACK DIAMOND KWA KWELI KWA SASA CLUB NI NYINGI SANA NA MJI UMEKUA TOFAUTI NA ENZI HIZO UNAZOSEMEAMoshi mjini ni padogo sana, miaka ile nikiwa nasoma siku za mwisho wa mwezi tunaachiwa kwenda kutembea mjini. Yaani kuanzia asubuhi ikifika saa saba mchana tushamaliza maduka yote kwa maana moja baada ya jingine. Hapo ni mjini.
Hiyo ilikuwa miaka hiyooo siku hizi natumai patakuwa pametanuka vilivyo.
Mme taja habari ya club na panapigwa mziki na panabamba. ... mnenipa ashiki ya kwenda hapo nami nikakate kiu iliyonishika. Ila kama kweli pakifungwa kabla sijaenda ntasikitikaaa. Ntaishia kwenda Arusha.
SIKU HIZI MOSHI PANA CLUB NYINGI SANA WALA USISIKITIKE KWA KUFUNGWA SEHEMU MOJA COZ BADO KUNA CLUB INATAMBA SANA MOSHI INAITWA RED STONE, BADO KUNA KILL HOME KUNA HUGGO'S KUNA BLACK DIAMOND KWA KWELI KWA SASA CLUB NI NYINGI SANA NA MJI UMEKUA TOFAUTI NA ENZI HIZO UNAZOSEMEA
Nasikia wamesitisha kuifunga leo imefanya kaziWameongeza kosa jingine kwamba iko karibu na kiyuo cha mafuta sasa atapanuaje?