Moshi: Padri afumaniwa live na mke wa mtu akiwa uchi wa mnyama

Status
Not open for further replies.

Nivea

JF-Expert Member
May 21, 2012
7,459
4,748
KANISA Katoliki Jimbo la Moshi limeingia katika kashfa nzito baada ya padri wake, Father Urbanus Ngowi wa moja ya parokia zake kudaiwa kufumaniwa na mwanamke anayesemekana ni mke wa mtu

PADRI.jpg

Father Ngowi akiwa ameduwaa baada ya kufumaniwa akiwa na mke wa mtu aliyejulikana kwa jina la kijamii la Mama P.
Sakata la fumanizi hilo linadaiwa kutokea Jumatatu ya wiki iliyopita chumbani kwa padri huyo, Marangu Wilaya ya Moshi Vijijini ambako Father Ngowi inasemekana alikutwa ‘laivu' akiwa na mwanamke huyo aliyejulikana kwa jina la kijamii la Mama P.

Pamoja na kunaswa huko, vyanzo havijaeleza humo chumbani wawili hao walikuwa wakifanya nini!

Habari zinadai siku ya tukio, mwanamke huyo aliingia nyumbani kwa padri huyo ambapo baadhi ya ndugu wa mumewe walikuwa wakimfuatilia baada ya madai yaliyokuwepo kwamba ana ukaribu wenye maswali mengi na mtumishi huyo wa Mungu.

"Unajua siku nyingi ilivuma kwamba Mama P na Father Ngowi wana ukaribu wenye maswali mengi, mume wake alifuatilia na kubaini ni kweli lakini akashindwa kuutenganisha ukaribu wao," kilidai chanzo.

PADRI1.jpg

Father Ngowi akijaribu kuomba samahani baada ya kufumaniwa.
Chanzo kikaendelea kudai kwamba baada ya kuona mkewe amejikita kwa mtumishi wa Mungu, mumewe alinyoosha mikono juu na kumwachia Mungu.

Chanzo: Sasa siku hiyo baada ya ndugu wa mume kumfuatilia mpaka anaingia kwa Father Ngowi, wakaona ni bora watafute mpigapicha ili kupata picha za tukio ambazo zitakuwa ushahidi siku za mbele.

"Walipompata wakazama ndani, sekeseke likaanzia hapo. Walimkuta mwanamke huyo na mtumishi wa Mungu wapo kitandani."

PADRI2.jpg

Father Ngowi na Mama P wakivaa nguo zao kwa aibu baada ya kufumaniwa.

Habari zinadai kwamba kufuatia tukio hilo, tayari Kanisa Katoliki limemweka kitimoto padri huyo ambaye alikuwa akihudumu katika Parokia ya Korongoni, Moshi Vijijini kabla ya kuhamishwa na kupelekwa Parokia ya Makomu, Marangu ambako inadaiwa ameshushwa cheo.

Inadaiwa kuwa baada ya tukio hilo, Father Ngowi alikana kukutwa na mke wa mtu chumbani kwake lakini alipobanwa sana na mabosi wa Jimbo Kuu la Kanisa Katoliki Moshi, alikiri na kudai ibilisi alimpitia na kuomba kanisa limsamehe na kutompa adhabu kali ambayo itamuathiri kisaikolojia.

Hili ni tukio kubwa na la aina yake kuwahi kulikumba Kanisa Katoliki nchini kwa padri wake kudaiwa kukutwa na mke wa mtu chumbani
PADRI3.jpg

Father Ngowi na Mama P wakiwa na nyuso za aibu baada ya tukio hilo.
Kuna madai kwamba mwaka jana (2012), Father Ngowi, mbele ya waumini wake alisoma barua yenye kukana shutuma zote zilizoelekezwa kwake kwamba amekuwa na ukaribu wenye maswali mengi na wake za watu.

Taarifa zilidai kuwa padri huyo aliweka wazi akisema si kweli kwamba amekuwa na ukaribu unaotajwa, akawataka waumini wake wapuuze tuhuma hizo alizosema zina mwelekeo wa kuchafua sifa yake na taswira ya Kanisa Katoliki kwa jumla.

Hayo ni madai ya vyanzo vyetu ambavyo viliambatanisha na picha mbalimbali za tukio hilo lenye kushtua waumini sambamba na namba za simu za padri huyo kwa ajili ya mawasiliano ili kujiridhisha.
PADRI4.jpg

Father Ngowi akipatiwa suruali yake.

poleni sana mtakao ghafilika ni taarifa tu wandugu.myie wanaume mnamuona mwenzenu? itikadi za kidini weka pembeni tuzungumze fumanizzzzzzzz
sourse :mnaiona hapo
 
Kile kipengele cha ukiwa padri hutakiwi kuoa inabidi kirekebishwe... Bora huyu anagonga wanawake, lakini ma padri wengi wanawalawiti vijana wa kiume....
 
Haya mambo dr slaa alishituka mapema,maana wananchi wa Basotu walishamzungumzia kipindi cha mapenz yake na Rose,mapadri waoe,hii hali inawaharibu hata mbeleni maishan,wanakuwa wanafiki sana,mfano dr slaa.
 
cha kushangaza ana kipaji cha kuponya watu pia
akiwa anaadhimisha misa watu wanaaguka sana wenye mapepo.
nadhani shetani kaamua kumtumia mwanamke aili ammalize kwani amekuwa akiwasumbua mapepo
 
Nashukuru Mungu kama wapo salama hayo mengine ni ya Kisheria zaidi, je alimbaka? alijua kwamba ni mke wa mtu? Mumewe kaathirika kiasi gani?
soma maelezo mimi sijui mkuu ila mumewa atakuwa hana hamu tena aisee lol aibu sana naona bora angefumwa yuko na mtoto mzuri ajabu potelea mbali lol hilo jimama minyama na amejitwika aibu sana.
 
Mchunga anachunga mpaka wake za watu
Jamani huu ndio mda wa kuamka kuh dini na viongozi wake
 
cha kushangaza ana kipaji cha kuponya watu pia
akiwa anaadhimisha misa watu wanaaguka sana wenye mapepo.
nadhani shetani kaamua kumtumia mwanamke aili ammalize kwani amekuwa akiwasumbua mapepo

Ni aibu kwa jamii nzima.
 
Haya mambo dr slaa alishituka mapema,maana wananchi wa Basotu walishamzungumzia kipindi cha mapenz yake na Rose,mapadri waoe,hii hali inawaharibu hata mbeleni maishan,wanakuwa wanafiki sana,mfano dr slaa.

.....mh heri ya dr. Slaa anaetembea na watu wa rika lake, kuliko yule jamaa alie na mademu tena watoto wadogo toka kila chuo kikuu hapa tz, radio na tv station zote...
 
alikiri na kudai ibilisi alimpitia na kuomba kanisa limsamehe na kutompa adhabu kali ambayo
itamuathiri kisaikolojia
Wakuu naomba kujua ni adhabu gani mtu ukapewa halafu isikuadhiri Kisaikolojia?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom