Moshi Nimewakubali!! David Mosha shtuka!.

Moshi Nimewakubali!! David Mosha shtuka!.

kiwatengu

Platinum Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
19,239
Reaction score
17,677
Kampeni zinazopigwa hapa spesheli na za aina yake.
Kwanza mabango ya Chadema (UKAWA) yakiwekwa yanaondolewa ndani ya dakika chache...
Sababu ni nzuri kabisa.

David Mosha anatumia nguvu na pesa ambazo kwa kweli zimepata watumiaji...
Hapa Moshi bwana Mosha kaurejesha wimbo wa Yahaya ulioimbwa na Lady Jaydee kwenye chat, ndiyo wimbo hapa...

Ni ngumu sana CCM kushinda ubunge Moshi mjini.
Hawa vijana wanaotoa bango ya Chadema ni wanazi wa chadema completely...wanafanya hivi kupiga hela zaidi za CCM!!
Mchana wako CCM kupiga hela ikifika jioni ni kampeni kali kwa upande wachadema, so ni kama deal flani hivi yakipekee...
Vijana wanaendesha kampeni za Ukawa kwa pesa ya CCM.
Wenyewe hawashtuki.
 
Umesema ukweli mtupu.
Ile kauli ya KULA CCM KULALA CHADEMA inatekelezwa kwa vitendo.
Mbunge mtarajiwa,Jaffari Michael anasema vijana wasitoe mabango ya Mosha ili achangie mapato ya manispaa.
 
Umesema ukweli mtupu.
Ile kauli ya KULA CCM KULALA CHADEMA inatekelezwa kwa vitendo.
Mbunge mtarajiwa,Jaffari Michael anasema vijana wasitoe mabango ya Mosha ili achangie mapato ya manispaa.

hii style ni ya kipekee sana!!
huyu Bwana Mosha anaweza kuwa Bankrupt kabisa baada ya Uchaguzi.
 
Kampeni zinazopigwa hapa spesheli na za aina yake.
Kwanza mabango ya Chadema (UKAWA) yakiwekwa yanaondolewa ndani ya dakika chache...
Sababu ni nzuri kabisa.

David Mosha anatumia nguvu na pesa ambazo kwa kweli zimepata watumiaji...
Hapa Moshi bwana Mosha kaurejesha wimbo wa Yahaya ulioimbwa na Lady Jaydee kwenye chat, ndiyo wimbo hapa...

Ni ngumu sana CCM kushinda ubunge Moshi mjini.
Hawa vijana wanaotoa bango ya Chadema ni wanazi wa chadema completely...wanafanya hivi kupiga hela zaidi za CCM!!
Mchana wako CCM kupiga hela ikifika jioni ni kampeni kali kwa upande wachadema, so ni kama deal flani hivi yakipekee...
Vijana wanaendesha kampeni za Ukawa kwa pesa ya CCM.
Wenyewe hawashtuki.

Cha mlevi uliwa na mgema
 
Umesema ukweli mtupu.
Ile kauli ya KULA CCM KULALA CHADEMA inatekelezwa kwa vitendo.
Mbunge mtarajiwa,Jaffari Michael anasema vijana wasitoe mabango ya Mosha ili achangie mapato ya manispaa.

Cdm ni mpango wa mungu
 
Vijana wa Moshi kwa kuziona fursa tu hawajambo. Pigeni pesa za mchakachua mafuta ya petrol kwani hana kazi nazo ila mwisho wa siku kura zote UKAWA.
 
wakati mwingine huwa inakuwaga tofauti,sio vizuri kujiamini kwa %100
 
mi namshangaa sana mosha ni mkazi wa dar lakini anataka ubunge moshi angegombea kinondoni anakokaa kuliko kupambana na jafary kijana mzawa na mkazi
 
Msijidanganye wanamoshi uchaguzi mkuu msiudharau. Mwaka 2005 ilikuwa almanusra Dr Slaa apigwe chini na Tsere wa CCM huko Karatu. Chukueni tahadhari.
 
yahaya unaishi wapii, kwani jina lako halisi nanii yahaya weee! we haya we haya
 
Safi sana,wachakachua petrol na dizel sio mafisadi ila mzee Lowassa.Well done wakazi wa Moshi.Tena mkimpa ubunge
huyo mtamwona 2020
 
Back
Top Bottom