Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 8,983
- 35,539
Sawa angalia pmNitajie jina la shule mwakani nataka kumuandikisha.
Sawa angalia pmNitajie jina la shule mwakani nataka kumuandikisha.
Majibu yake:-Hizi methali zikishajibu kwa watoto wako utatuletea majibu
*Mchelea mwana kulia .......
*Haba na haba.....
*Lakuvunda .....
*Mtoto umleavyo....
*Apandae haba ....
*Mkaidi afaidi.......
Hivi shule za bure ndio kwenye mambo ya kudeki zile za kulipia nako inakuwaje?.Watoto wenu wengi wataishia kujiuza au kuwa mashoga kwa kuwa mnawaona mayai sana, yaani mtoto asijifunze kazi za kawaida kabisa kama hizo? N'a bado unaona Sawa tu?
Tofauti yako na James delicious siioni kabisa.Tofauti yako na kiroboto ni saizi ya mwili tu
OkaySawa angalia pm