Moshi: Mzazi ampiga na kumjeruhi mwalimu shuleni kwa kosa la kumuadhibu mwanae

Kumbe ulitaka Nani afanye usafi shuleni?
Kwa akili yako iliyochoka unataka walimu wanaolipwa $200 wakadeki vyoo vya wanafunzi?
Wake up young lady .
Duh halafu ujue nilikaa na kuamini this lady yupo vizur upstairs kumbe akili za slay Queen kabisa aiseee
 
Mwanafunzi kudeki shule kwani yeye analipwa na serikali hizi kazi za kudeki walimu ndio wafanye wao.
Hizi methali zikishajibu kwa watoto wako utatuletea majibu
*Mchelea mwana kulia .......
*Haba na haba.....
*Lakuvunda .....
*Mtoto umleavyo....
*Apandae haba ....
*Mkaidi afaidi.......
 
Hali ya taharuki imetokea katika shule ya msingi Narumu, katika Kijiji cha Narumu wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, baada ya mama mmoja ajulikanae kwa jina la Valentina Kweka, kuingia ofisi ya walimu na kumpiga Mwalimu.

Mwalimu huyo ambaye ni wa kike (jina limehifadhiwa) alijeruhiwa hivyo kupelekea kutoka damu puani kwa kile kinachodaiwa kuwa ni mwalimu huyo kumchapa mwanafunzi huyo wa darasa la tano fimbo moja kwa kosa la kukataa kudeki darasa.

Mtoto huyo alienda kusema kwa mamake huku akilia ndipo mzazi huyo alipochukua jukumu la kwenda hadi shuleni na kumpiga mwalimu huyo na kumjeruhi.

Aidha mwenyekiti wa kijiji hicho Bwana Ismael Urassa pamoja na diwani wa kata hiyo wamethibisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa tukio hilo limefika ofisi ya kata na linashughukiwa.
Mwalimu alitakiwa apige hiyo pua ya huyo mzazi kwa rula ya ubaoni mpaka pua iwe kama chapati.
 
Hali ya taharuki imetokea katika shule ya msingi Narumu, katika Kijiji cha Narumu wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, baada ya mama mmoja ajulikanae kwa jina la Valentina Kweka, kuingia ofisi ya walimu na kumpiga Mwalimu.

Mwalimu huyo ambaye ni wa kike (jina limehifadhiwa) alijeruhiwa hivyo kupelekea kutoka damu puani kwa kile kinachodaiwa kuwa ni mwalimu huyo kumchapa mwanafunzi huyo wa darasa la tano fimbo moja kwa kosa la kukataa kudeki darasa.

Mtoto huyo alienda kusema kwa mamake huku akilia ndipo mzazi huyo alipochukua jukumu la kwenda hadi shuleni na kumpiga mwalimu huyo na kumjeruhi.

Aidha mwenyekiti wa kijiji hicho Bwana Ismael Urassa pamoja na diwani wa kata hiyo wamethibisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa tukio hilo limefika ofisi ya kata na linashughukiwa.
😂😂😂😂😂Aiseh
 
Mwanafunzi kudeki shule kwani yeye analipwa na serikali hizi kazi za kudeki walimu ndio wafanye wao.
Watoto wenu wengi wataishia kujiuza au kuwa mashoga kwa kuwa mnawaona mayai sana, yaani mtoto asijifunze kazi za kawaida kabisa kama hizo? N'a bado unaona Sawa tu?
 
Hali ya taharuki imetokea katika shule ya msingi Narumu, katika Kijiji cha Narumu wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, baada ya mama mmoja ajulikanae kwa jina la Valentina Kweka, kuingia ofisi ya walimu na kumpiga Mwalimu.

Mwalimu huyo ambaye ni wa kike (jina limehifadhiwa) alijeruhiwa hivyo kupelekea kutoka damu puani kwa kile kinachodaiwa kuwa ni mwalimu huyo kumchapa mwanafunzi huyo wa darasa la tano fimbo moja kwa kosa la kukataa kudeki darasa.

Mtoto huyo alienda kusema kwa mamake huku akilia ndipo mzazi huyo alipochukua jukumu la kwenda hadi shuleni na kumpiga mwalimu huyo na kumjeruhi.

Aidha mwenyekiti wa kijiji hicho Bwana Ismael Urassa pamoja na diwani wa kata hiyo wamethibisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa tukio hilo limefika ofisi ya kata na linashughukiwa.
Mtu umezaa mwana kwa shida halafu kamtu kengine kanakuja kukuchapia mwanao!
 
Kumbe ulitaka Nani afanye usafi shuleni?
Kwa akili yako iliyochoka unataka walimu wanaolipwa $200 wakadeki vyoo vya wanafunzi?
Wake up young lady .
Huyu anajifanya mjuaji sana

Yaani darasa analotumia Mwanafunzi lidekiwe na nani sasa
 
Mwalimu mbona unamkingia sana kifuabmwalimu mwenzio? Yani kamchapa fimbo? Kweli mwalimu huu ndio ukweli?

Hata hivyo acha wazazi tulinde watoto wetu maana tunaona namna mnawashambulia wanetu huku mkiwarekodi na kutuonyesha mtandaoni.

Popote ulipo mzazi mlinde mwanao kwa gharama yoyote walimu wa leo vijanavijana hawa sio watu sahihi kwa usalama wa watoto wetu mambo yamebadilika sana.
Katika kumlinda jitahidi pia kumfundisha adabu na Nidhamu

Ukiona Waalimu ni kero zaidi mfundishe mwenyewe masomo yote nyumbani
 
Mtu umezaa mwana kwa shida halafu kamtu kengine kanakuja kukuchapia mwanao!
Si ubaki naye nyumbani uwe unambembeleza na kumpaka mafuta?

Lah, hutaki mpeke International Schools au English medium schools...achana na St. Kayumba
 
Back
Top Bottom