Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 9,029
- 35,766
Tena usiombe ukamleta mtoto wako shule ninayofundisha mimi😂😂. Kila siku utakuwa unamkanda akirudi nyumbani.Mimi kama nimesoma shule zisizokuwa na viboko na bado discipline ilikuwa ya hali ya juu basi siwezi kuvumilia mtoto wangu kuchapwa kama punda. Nitakuja kuwachoma visu vya paja nyie walimu To yeye Hannah Mpwayungu Village Evelyn Salt