Duuuuhh kwa kweli wenzetu wa uchagani wana utaratibu mzuri ambao kila mtanzania anapaswa kuiga badala ya kupinga. Ukipita maeneo ya vijijijini kuna shangwe kubwa mnooo ndugu wanajumuika pamoja kwa xmas hadi raha. Moshi mjini traffic wana kazi ya ziada ya kuongoza magari kuepusha ajali kwani magari ni mengi mnooo na watu ni wengi mnoo. Nimependa kwa kweli utaratibu huuuuu.