bloggerboy
JF-Expert Member
- Nov 13, 2017
- 568
- 1,211
Habari wanajukwaa,
TRA moshi wamevamia club maarufu ijulikanayo kama Rau pub usiku na kuifunga wakidai club hiyo inadaiwa hivyo wanatakiwa kufunga na kulipa kwanza, hali iliyopelekea tafrani ,maana wateja bado walikuwa wamejaa sana!
Umetokea mvutano mkubwa kati ya meneja wa pub hiyo na TRA akidai inakuwaje waje usiku? Wakamjibu wameagizwa na boss Mkoa
More updates and pictures to come!
TRA moshi wamevamia club maarufu ijulikanayo kama Rau pub usiku na kuifunga wakidai club hiyo inadaiwa hivyo wanatakiwa kufunga na kulipa kwanza, hali iliyopelekea tafrani ,maana wateja bado walikuwa wamejaa sana!
Umetokea mvutano mkubwa kati ya meneja wa pub hiyo na TRA akidai inakuwaje waje usiku? Wakamjibu wameagizwa na boss Mkoa
More updates and pictures to come!