Moshi, Kilimanjaro: Watu waliojitambulisha kama maafisa wa TRA wavamia Rau Pub Usiku huu

Mkuu umeongea point sana. Sintakaa niwasahau TRA asilani. Walinifilisi ka grocery kangu chenye mtaji wa laki2 kwakunipiga faini ya laki9. Kwanza walikuja maafisa biashara wa manispaa wakanipiga faini ya laki mbili na arobaini wakidai kuwa kwakuwa watu wananywea hapo hiyo ni bar. Nikauza kila kilichowezekana nikaachiwa. Sijakaa sawa wakaja watu wa afya wakala hamsini. Baadae wakaja tra ndo nikauza hadi kreti tupu na nduguzangu kunichangia kulipa nikarudi barabarani kuuza urembo. Ila nilipigwa fitna na jirani yangu aliyekuwa na bar kubwa jirani.
 
Hahahaaaa........ TRA wakikutembelea usiku badala ya mchana ujue kuna tatizo!

Wakija tena usiku wafanyizie jinsi ZAKARIA alivyowafanyizia wale watu wasiojulikana kule Mara!!! Hakuna ofisi isipokuwa polisi wanapomtafuta muhalifu tena na search warrant ndio wanaruhusiwa kufanya kazi usiku!! Hawa engine ni majambazi tu!!!
 
Huwezi kuajiri wasenge wakatoze kodi kisha badala ya kuwaita kwa heshima ya jina lao, unawaita WATAALAM.
Wataalam wa kazi gani? Kutoza kodi kwa njia hiyo hakujawahi kuwa kazi ya kitaalam
Tra Wananijaribu sasa
 
Gari zisizo na taa, bima, breki, honi, nk, Mara nyingi zinatembea usiku.
Sasa Trafiki wakiamua kula kazi usiku wa manane sijui itakuwaje!
 
Back
Top Bottom