Moshi, Kilimanjaro: Watu waliojitambulisha kama maafisa wa TRA wavamia Rau Pub Usiku huu

Ila baa nying hazitoi risiti na EFD wanazo sijajua utaratibu upoje na kodi zao wanalipaje sijawah enda baa nipewe risiti...

Kuna siku nilikua na jamaa angu wa TRA mpenda sifa hv akawakazia wampe risiti ikaonekana hawajatoa risiti kama mwezi hv kwny kile kimashine....

Sema nilimkanya jamaa aache udwanzi wa kudai risiti off duty atakuja pigwa afe

 
Habari wanajukwaa,

TRA moshi wamevamia club maarufu ijulikanayo kama Rau pub usiku na kuifunga wakidai club hiyo inadaiwa hivyo wanatakiwa kufunga na kulipa kwanza, hali iliyopelekea tafrani ,maana wateja bado walikuwa wamejaa sana!

Umetokea mvutano mkubwa kati ya meneja wa pub hiyo na TRA akidai inakuwaje waje usiku? Wakamjibu wameagizwa na boss Mkoa

More updates and pictures to come!
Kweli JF kuna mambo!
Lipeni kodi sio kulia lia humu
 
Matako kila mtu anayo....wewe mwenyewe unayo,tena yamejaa mavi

Watu hawalipi kodi kuna technical reason

Na sababu jiulizeni nyie wenye madaraka

Hahahahaaa

Jokes on you motherfvckers!
Pimbi mkubwa karumagende ngedere mla mavi mnywa wanzuki na komoni lijinga kabisa u bwa mkubw na ms n ge mk d uwako
 
Hahahahaaaa

Ndio mawe kawatuma mtukane kwa matusi haya watu hata msiowajua kwenye internet???

Una ugonjwa wa akili wewe,sio bure!

Unaowatawala hawalipi kodi,kufunga biashara hakukusaidii ""kupata ma-trioni ya kujenga SGR kwa heraaa zetu za ndani""...

Sababu kwanini hawalipi ni kazi yako kugundua na kufanyia kazi

Ng'ombe wako hatoi maziwa eti unaenda kukata titi la ng'ombe husika eti maziwa yatoke!

Vichaa nyie

Na matusi yote uliyotoa viunge vyote unavyo kwenye mwili wako, janamke bovu kote kote!
Lazima mlipe kodi.
 
Hii inapeleka chilling effect to all small business owners,aidha kama hawatafunga kujiokoa,watapunguza kabisa uuzaji

Watapunguza wafanyakazi,watapunguza operations,wataanza kuficha mauzo na records zote kwa fasta zaidi,wata draw hela zao zote benki ili TRA isizione wataficha majumbani mwao

Mikopo ya benki itashindwa kulipika

Huwezi shindana na mfanyabiashara mwenye hofu...huwezi

Wengine watakimbia na nchi kabisa waende Kenya wakae hata miezi 3 warudi

Hii inapeleka alot of disruption isiyokua na maana

Inatakiwa mfanyabiashara uhakikishe haingiwi hofu kabisaa,ukusanye hata shilingi kuliko hivi

Ukimvamia ukachukua mauzo yote maana ni kwamba umefanya effectively kufunga hiyo biashara na kutuma ujumbe kwa wengine wakimbie au waharibu records kabisa mapema

Hizi ni biashara ndogo ndogo zenye wasiwasi kama mabaa...mabaa ni biashara volatile na ndogo sana...

Wakubwa zaidi kidogo,ndio umetuma ujumbe wafunge kwanza wakimbie warudi mwezi wa tisa huko

Hela zote zitafichwa kutoka kwenye mfumo...

Naona ujinga mwingi unafanyika kwa haya mambo ya kipumbavu hivi

Moshi kama KARUFONYIAAAAAAH
Umeongea kweli mkuu,yupo jamaa yangu Kariakoo yeye alikuwa na kaduka kadogo dogo tu akakadiriwa kwa mwaka alipe 1.6mill na efd akanunua kwa ajili ya bidhaa zake za dukani ila mzigo mkubwa aliokuwa anauuza pale ni wa nje ya duka lake,yani alikuwa kama winga anatumiwa hela nyingi na wateja wake mikoani huko anafunga mizigo kwa Wachina anabaki na faida yake mfukoni.

TRA wakamkamata siku moja baada ya kuonekana akipakia mzigo uliotoka dukani kwake huku receipt ikionekana siyo ya jina lake jamaa akajitahidi kujieleza wakaenda mpaka mzigo ulikonunuliwa wakakataa bado wakawa hawamuamini wakamwandikia fine,jamaa alipita pita mlango wa nyuma mpaka akaifunga TIN yake na kiduka akakifunga currently anafanya kazi kwa simu tu still hela anapata so ile 1.6mill aliyokuwa anaipa serikali kwa sasa hawaipati tena na alikuwa anailipa vizuri kabisa.

Hili jambo linahitaji busara sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hazina imekauka usishangae ikaja ile ya nyumba kwa nyumba na hatimaye kichwa kwa kichwa!

Ndugu zangu tufunge mkanda tuibebe serekale katika kipindi hiki kigumu cha mbinyo wa mabeberu 😀
 
Ila baa nying hazitoi risiti na EFD wanazo sijajua utaratibu upoje na kodi zao wanalipaje sijawah enda baa nipewe risiti...

Kuna siku nilikua na jamaa angu wa TRA mpenda sifa hv akawakazia wampe risiti ikaonekana hawajatoa risiti kama mwezi hv kwny kile kimashine....

Sema nilimkanya jamaa aache udwanzi wa kudai risiti off duty atakuja pigwa afe
Yani nimeenda zangu Bar kunywa Hafu Niko Gambe...
Then nianze tena kudai Risiti?
 
Sizani kama kutakuwa na utaratibu wa kuwalipa fidia wateja ambao walikuwepo hapo.

Hivi kama hapo akichukuliwa meneja au kiongozi yoyote ili akahojiwe peke yake bila kuathiri shughuli nyingine tatizo litakuwa wap?
Meneja utampata kirahisi namna hiyo. Happ ukute aliteleza na bodaboda fasta akawaachia msala jamaa wa Kaunta
 
Tatizo hizi mashine eti wanawauzia tena wafanyabiashara, tena bei kubwa zaidi ya laki 6. Wangewapa free hizo mashine au at a very low price ili wahamasike kuzitumia.
TRA vamia hao maana mwisho wa siku mlipakodi ni mnunuzi wa mwisho sasa shida iko wapi,toeni risiti
 
Meneja utampata kirahisi namna hiyo. Happ ukute aliteleza na bodaboda fasta akawaachia msala jamaa wa Kaunta
Yah possible lakini kuna njia nyingine zaidi za kusolve hili tatizo bila kutngeneza taharuki kwenye jamii na kufanya watu wasijione wako huru

Meneja hana account, hana collateral yoyote, hana kitu chochote cha kuweza kumfanya aje ofisini?
 
Ndomana wwngine tumehamia kwa mangi sahvi
Mambo ya kunywa umpe kila mnywaji bar risit ni ngumu wazee hebu tra waliangalie hilo!

Ova
 
Vipi kuhusu agizo la Waziri Mpango juu ya kufunga biashara za watu?

Alipiga marufuku TRA kufunga biashara za wafanyabiashara kwa kushindwa kulipa kodi badala yake watumie njia ya kukaa nao na kujadiliana namna ya kulipa kodi hizo na kwamba uamuzi wa kufunga biashara uwe wa mwisho baada ya njia zote kushindikana na mwenye mamlaka ya mwisho ya kufanya hivyo ni Kamishna Mkuu wa TRA.

“Ukifunga biashara ya mtu leo kwa madai ya kodi ambazo anadaiwa za huko nyuma maana yake unapoteza kodi nyingi ambazo ungezipata kama biashara ingeendelea. Kufunga Biashara yawe ni maamuzi ya mwisho kabisa pale inapotokea hakuna mbadala kabisa wa kupata ufumbuzi na nilikwishatoa maelekezo siku za nyuma kuwa uamuzi huo utolewe na Kamishna Mkuu wa TRA in person. Hata matumizi ya Agency Notice busara itumike kumlazimisha mlipa kodi alipe deni - Kimsingi iwe ni njia ya mwisho (last resort) baada ya majadiliano kushindikana kabisa.” Aliongeza Dkt. Mpango
Kwahiyo Mpango ajulishwe kuwa agizo lake limedharaulika? Na kwa kwakutofuata maelekezo ya waziri mwenye dhamana nani anapaswa kuwajibika? Tushaona maagizo mengi ya mawaziri kutofuatwa na maafisa wa chini yao na hakuna hatua. Nini kifanyike kurekebisha hali hii?
Kumbukumbu; Nape kama waziri mwenye dhamana aliamrisha tume iundwe kuchunguza tukio la mkuu wa mkoa wa Dar es salaam kuvamia ofisi za Clouds TV bila kufuata utaratibu na kesho yake tu akaenguliwa uwaziri wake. Je wazani waziri Mpango hana kumbukumbu ya matukio yanayoshabihiana na maagizo ya mawaziri kutofuatwa?
 
Katika biashara zilizo kwenye Tax free ni Bar.... Sio wenye Daladala tunakadiliwa kodi ya Mwaka mzima... tunalipa so tunajichapishia tu vijitabu vya tiketi uchwara Maisha yanaenda. na Bar bora wafanya hivyo hivyo kwani wao ni nani maana kudhibiti risiti usiku ni kazi kubwa... wengi wanaponeamo humo... sema kuna maeneo risiti lazima upewe
 
Back
Top Bottom