Moshi, Kilimanjaro: Watu waliojitambulisha kama maafisa wa TRA wavamia Rau Pub Usiku huu

Ila baa nying hazitoi risiti na EFD wanazo sijajua utaratibu upoje na kodi zao wanalipaje sijawah enda baa nipewe risiti...

Kuna siku nilikua na jamaa angu wa TRA mpenda sifa hv akawakazia wampe risiti ikaonekana hawajatoa risiti kama mwezi hv kwny kile kimashine....

Sema nilimkanya jamaa aache udwanzi wa kudai risiti off duty atakuja pigwa afe
Tatizo hizi mashine eti wanawauzia tena wafanyabiashara, tena bei kubwa zaidi ya laki 6. Wangewapa free hizo mashine au at a very low price ili wahamasike kuzitumia.
 
Vipi kama umemuita hakuitika!
Kwani hiyo pub ndo ilikuwa inazinduliwa usiku huo, si ipo siku nyingi?

Walevi washambulie kwa maslah gan, kwani ikifungwa bar ndo wamefungiwa kulewa!
Tuwaache wataalam wakati mwingine wafanye kazi,
Ujinga tuu na ukosefu wa mbinu, yaani usiku wa manane unaenda kudai kodi? Kwa nini hatuigi kwa mabeberu? Miafrika tuna shida sana kwenye thinking and strategies, yaani zero kabisa.
 
Mkuu hii akili kubwa hawawezi kuwa nayo, wao kwanza wanapenda sifa kuonekana wamefunga Pub na kuwakomoa wateja, they don't care at all. Imagine traffic anakamata Bus wanasumbuana na kondakta na dereva kwa zaidi ya nusu saa bila kujali abiria ambao wamelipa nauli zao na hawana kosa.
 
Kuna night club 1 morogoro star park kila ukiagiza mzigo unakuja na efd risiti hadi raha.
Mkuu Star Park ile investment siyo ya kitoto, halafu amekuja kwa kasi na pia kupambana na ushindani na akina Terminal Pub, Samaki samaki na wengine, sasa hataki kabisa usumbufu mdogo mdogo na watu kama TRA na wengine ili wateja wake wasisumbuliwe.
 
Habari wanajukwaa,

TRA moshi wamevamia club maarufu ijulikanayo kama Rau pub usiku na kuifunga wakidai club hiyo inadaiwa hivyo wanatakiwa kufunga na kulipa kwanza, hali iliyopelekea tafrani ,maana wateja bado walikuwa wamejaa sana!

Umetokea mvutano mkubwa kati ya meneja wa pub hiyo na TRA akidai inakuwaje waje usiku? Wakamjibu wameagizwa na boss Mkoa

More updates and pictures to come!
Kabla sijachangia naomba Kwanza kujua Mmliki wake ni Mfuasi wa Chama gani? Je, hutoa Michango na huwa anashibana pia na Mwenyekiti Taifa?
 
Ujinga tuu na ukosefu wa mbinu, yaani usiku wa manane unaenda kudai kodi? Kwa nini hatuigi kwa mabeberu? Miafrika tuna shida sana kwenye thinking and strategies, yaani zero kabisa.
Halafu inasema mbona sehemu flani,tulienda SAA 9 usiku
 
Sasa hivi tra nao wamekuwa Kama polisi
Wanataka waogopwe
Ila baa nying hazitoi risiti na EFD wanazo sijajua utaratibu upoje na kodi zao wanalipaje sijawah enda baa nipewe risiti...

Kuna siku nilikua na jamaa angu wa TRA mpenda sifa hv akawakazia wampe risiti ikaonekana hawajatoa risiti kama mwezi hv kwny kile kimashine....

Sema nilimkanya jamaa aache udwanzi wa kudai risiti off duty atakuja pigwa afe
 
Kama Wiki moja nyuma Hawahawa TRA walivamia 40 40 Bar pale Tabata Bima na kuwatoza faini ya Million 6,

Ilikua hivi,
Afisa wa TRA alienda mpaka Kaunta na kuagiza maji ya 1000 Kilimanjaro, akahudumiwa bila risiti ndipo akatoa kitambulisho na kutaka kukagua mauzo ya Siku hiyo ndipo walipofikia kuwatoza Faini ya 6 Million
lakini hao TRA si walikua sahihi!?.. au kosa lao ni nini hapo.. maana kikawaida wangeulizia kama risiti zinatolewa wangejibiwa ndio hali ya kuwa si kweli.. whats wrong with everyone trying to do their job?
 
Habari wanajukwaa,

TRA moshi wamevamia club maarufu ijulikanayo kama Rau pub usiku na kuifunga wakidai club hiyo inadaiwa hivyo wanatakiwa kufunga na kulipa kwanza, hali iliyopelekea tafrani ,maana wateja bado walikuwa wamejaa sana!

Umetokea mvutano mkubwa kati ya meneja wa pub hiyo na TRA akidai inakuwaje waje usiku? Wakamjibu wameagizwa na boss Mkoa

More updates and pictures to come!
Akili ya panzi,
Wanafunga Bar, watakosa mapato ya siku ambazo Bar itakuwa imefungwa, baadae wataanza kuhoji kwa nn makusanyo yameshuka!! Akili ambayo mchawi pekee anaweza kuifanya.
 
Wakurugenzi wamechimbwa mkwara na waziri jafo makusanyo yakiwa chini huna kibarua kwa hiyo wanapambana kwa hali yoyote
 
KABLA SIJASAHAU HUYO JAMAA ANAYEMILIKI/ANAYEFANYA BIASHARA HAPO RAU PUB ALIWAHI KUKAMATWA NA GARI YA WIZI AMBAYO ILIKUWA NA NAMBA ZA IKULU YA KENYA.....NA POLISI WA SIRRO WAKAPIGA KESI IKAFUTWA.
MAENEO HAYO HAYO YA RAU BIASHARA YA GUEST BUBU NDIYO IMESHAMIRI MNO....RAU SHINE GUEST HOUSE NI MOJAWAPO!!
 
Habari wanajukwaa,

TRA moshi wamevamia club maarufu ijulikanayo kama Rau pub usiku na kuifunga wakidai club hiyo inadaiwa hivyo wanatakiwa kufunga na kulipa kwanza, hali iliyopelekea tafrani ,maana wateja bado walikuwa wamejaa sana!

Umetokea mvutano mkubwa kati ya meneja wa pub hiyo na TRA akidai inakuwaje waje usiku? Wakamjibu wameagizwa na boss Mkoa

More updates and pictures to come!
Duh inasikitisha
 
Habari wanajukwaa,

TRA moshi wamevamia club maarufu ijulikanayo kama Rau pub usiku na kuifunga wakidai club hiyo inadaiwa hivyo wanatakiwa kufunga na kulipa kwanza, hali iliyopelekea tafrani ,maana wateja bado walikuwa wamejaa sana!

Umetokea mvutano mkubwa kati ya meneja wa pub hiyo na TRA akidai inakuwaje waje usiku? Wakamjibu wameagizwa na boss Mkoa

More updates and pictures to come!
Mkuu mpaka sasa saa tisa alasiri hakuna mapicha tu ya tukio, basi hizi habari zina mushikheri. Nakataa na sikuamini.
 
KABLA SIJASAHAU HUYO JAMAA ANAYEMILIKI/ANAYEFANYA BIASHARA HAPO RAU PUB ALIWAHI KUKAMATWA NA GARI YA WIZI AMBAYO ILIKUWA NA NAMBA ZA IKULU YA KENYA.....NA POLISI WA SIRRO WAKAPIGA KESI IKAFUTWA.
MAENEO HAYO HAYO YA RAU BIASHARA YA GUEST BUBU NDIYO IMESHAMIRI MNO....RAU SHINE GUEST HOUSE NI MOJAWAPO!!
Basi ni Mchagga halisi huyu....Mchagga bila wizi na utapeli, achekwe?
 
Habari wanajukwaa,

TRA moshi wamevamia club maarufu ijulikanayo kama Rau pub usiku na kuifunga wakidai club hiyo inadaiwa hivyo wanatakiwa kufunga na kulipa kwanza, hali iliyopelekea tafrani ,maana wateja bado walikuwa wamejaa sana!

Umetokea mvutano mkubwa kati ya meneja wa pub hiyo na TRA akidai inakuwaje waje usiku? Wakamjibu wameagizwa na boss Mkoa

More updates and pictures to come!
Kumbe TRA wanafanya kazi usiku na mchana,.Ila ni sahihi pia wapite na kwenye kumbi za harusi wawadai risit za ma-mcs na mdjs.

kwa sababu ni kweli biashara zinazofanyika usiku inabidi ukaguzi wa kodi ufanyike usiku,wawe wanatembea na mawakala wa mabenki kwa ajili ya kupokea malipo ya serikali.Hata kuna mizigo pia inasafirishwaga usiku ikiwa haina hizo efd
 
Back
Top Bottom