Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 8,848
- 15,253
Kijana mmoja ajulikanae kwa jina la Emmanuel Alex, anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 28, amekutwa amefariki dunia shambani huku mwili wake ukiwa hauna nguo yoyote.
Tukio hilo limetokea katika Kijiji cha Orori kata ya Machame Mashariki, limezua taharuki miongoni mwa watu katika eneo hilo huku chanzo cha kifo kikiwa bado hakijajulikana.
Polisi walifika eneo la tukio na kuchukua mwili wa marehemu kwa ajili ya Uchunguzi zaidi.
Tukio hilo limetokea katika Kijiji cha Orori kata ya Machame Mashariki, limezua taharuki miongoni mwa watu katika eneo hilo huku chanzo cha kifo kikiwa bado hakijajulikana.
Polisi walifika eneo la tukio na kuchukua mwili wa marehemu kwa ajili ya Uchunguzi zaidi.