Moses Kulola, Askofu Mkuu wa Makanisa ya EAGT afariki dunia

mwenyezi Mungu, ampumzishe kwa amani na kutupa sisi tuliobaki faraja na tafakari ya wapi tutaenda baada ya maisha haya ya duniani.
 
:A S-fire1:Few weeks ago I saw him at EAGT Mito ya baraka he was so tired but he was able to talk and walk although he was seems so week for case of physical strength but we have been told to give thanks for everything R.I.P Moses Kulola
 
Ee Mwenyezi Mungu mwingi WA rehema mph.uzishe mja Wako slake kwa amani na afufuke simu za mwisho. AMENI
 
Tunamshukuru Mungu kwa utumishi uliotukuka wa mtumishi wake Askofu Moses.

Amekuwa baba wa kiroho kwa watu wengi ndani na nje ya Tz
 
Mungu amlaze mahali pema anapostaili. Ni pigo kubwa xana kwa watu wengi waamini ila hatuna budi kukubali mana ni kazi ya mungu na hakuana ambaye ana uweza kama wake kwa hiyo kazi ya mungu itabaki kuwa kazi yake tu ... 'bwana alitoa na bwana ametwaa jina la bwana libarikiwe'
 
Hatunaye tena Askofu Moses Kulola (aliyezaliwa 1928) aliyefariki hivi leo katika hospitali ya Africa Medical Investments iliyopo slip way jijini Dar es salaam...

Hakika ni sikitiko kubwa sana kwa wanafunzi wake wa kiroho kama kina kakobe, mzee wa upako, dr. daniel kulola na wengineo pamoja na waumini wake na wote waliokuwa na mapenzi mema naye.

R.I.P mzee Kulola Moses.
 
:A S-fire1:Few weeks ago I saw him at EAGT Mito ya baraka he was so tired but he was able to talk and walk although he was seems so week for case of physical strength but we have been told to give thanks for everything R.I.P Moses Kulola

Mkuu siku nyingine andika kwa kiswahili, utaeleweka tu!
 
Dah, kuna mengi yamenivutia katika historia ya BABU ASKOFU KULOLA...lakini kubwa kuliko hili hapa "Inasemekana hajawahi kunyoa kwa takribani miaka 47, alitumia imani kumwomba Mungu urefu wa nywele zake usiongezeke wala kupungua.. na ikawa hivyo. Kwakweli imani yangu imeongezeka
 
Ndugu acha uongo wa mchana kweupe, Mtumishi wa Mungu Askofu Kakobe mara nyingi amesema sana kuwa yeye ni mtoto wa kiroho wa Mtumishi wa Mungu Askofu Kulola. Mara kadhaa Askofu Kulola ameshaenda katika kanisa analolichunga Askofu Kakobe MWenge, moja kati ya hizo safari, Askofu Kakobe na washirika walimpa zawadi nyingi sana Askofu Kulola, ikiwa ni kuheshimu kazi kubwa ya Injili aliyoitenda Askofu Kulola. na hata katika ushuhuda wake Askofu Kakobe katika website yake hapa , http://bishopzacharykakobe.org/en/about-us/about-bishop-zachary-kakobe . utaona wazi wazi ameeleza kuhusu kuokoka kwake kutokana na mahubiri ya mtumishi wa Mungu, Askofu Kulola.
90
Hakika Mtumishi wa Mungu Askofu Kulola,amemaliza kazi na taji ya haki amevikwa. Jina la Bwana lihimidiwe
Bwana yesu asifiwe mtumishi?

Unakemea au unajibu hoja?
naomba majibu
  1. MZEE WETU KAANZA KUHUBIRI LINI?
  2. LINI ALIMFUNDISHA KAKOBE? NAKUPATA MAFANIKIO
  3. NA LINI KAKOBE KAMTAMBUA MZEE WETU? (alaf angali muda wa 2 na 3)

BUT KWA MIMI SIJAONA MALIPO YA KAKOBE, KWA MZEE WETU DR NA MTUMISHI WA MUNGU MPAKA PALE ALIPOONA MAMBO YAKE HAYAENDI NDIO AKAMTAMBUA KINAFIKI, Ukweli ni kakobe amtambui fullstop, ila kinafiki sawa.
 
Nimepokea taarifa kutoka kwa Rev. Daniel Kulola ambaye ni mtoto wa Bishop Moses Kulola kwamba, Askofu Kulola amefariki dunia muda mfupi uliopita.

Nitaendelea kuwapa updates.

Bwana alitoa na Bwana ametwaa, jina la bwana lihimidiwe.


Pole sana mchunga kondoo na mwanzilishi wa makanisa ya kilokole nchini
 
Last edited by a moderator:
:A S-fire1:Few weeks ago I saw him at EAGT Mito ya baraka he was so tired but he was able to talk and walk although he was seems so week for case of physical strength but we have been told to give thanks for everything R.I.P Moses Kulola

Kiswahili sio lugha yako mkuu?
 
raha ya milele umpe ee bwana, na mwanga wa milele umwangazie ampumzike kwa amani,
 
Back
Top Bottom