Moses Kulola, Askofu Mkuu wa Makanisa ya EAGT afariki dunia

Mzee Askofu Dk Moses kulola amefariki dunialeo asubuhi kwa maradhi ya mapavu

Mzee kulola atakumbukwa kwa mengi mema aliyo fanya katika taifa letu kuhamasisha umoja na mshikamano

What a shocking news to the believers and born again Christians! God gave and He has taken away, the glory be to You.
 
Huyu ni kati ya wale waliokuwemo na walihamasisha dini ya ulokole miaka ya 80s Mwenyezi Mungu aiweke roho ya marehemu pahara pema peponi...
 
Huyu ni kati ya wahubiri wachache wa ukweli wasiopenda sifa na kutukuzwa kujiita manabii na mitume na kufanya maonyesho kuishi kifahari kijtajiri na mafundisho yake yalijaa hekima nyingi ipo siku ukweli utakuwa kweupe muone mnavyodanganywa na miujiza, maombi ya GIZANI
 
Mzee Askofu Dk Moses kulola amefariki dunialeo asubuhi kwa maradhi ya mapavu

Mzee kulola atakumbukwa kwa mengi mema aliyo fanya katika taifa letu kuhamasisha umoja na mshikamano
Oooohhhhh! Kuishi ni Kristo kufa ni FAIDA.

Mwendo umeumaliza, vita umevipiga na Imani umeilinda. Rest in Peace.

nitakukumbuka kwa neno iiiiiyyyyoooooooooo - na kwa sauti hiyo tuu, mapepo yanalipuka na wagonjwa wanapona.

blessed be the name of the LORD.

Queen Esther
 
aha! apumzike kwa amani, huyu ndie alimfundisha ZACHARIA KAKOBE kuhubiri, ingawa kakobe mpaka leo akubari swala hili...... poleni sana wafiwa na mchujuku wako flora mbasha pole pia
Ndugu acha uongo wa mchana kweupe, Mtumishi wa Mungu Askofu Kakobe mara nyingi amesema sana kuwa yeye ni mtoto wa kiroho wa Mtumishi wa Mungu Askofu Kulola. Mara kadhaa Askofu Kulola ameshaenda katika kanisa analolichunga Askofu Kakobe MWenge, moja kati ya hizo safari, Askofu Kakobe na washirika walimpa zawadi nyingi sana Askofu Kulola, ikiwa ni kuheshimu kazi kubwa ya Injili aliyoitenda Askofu Kulola. na hata katika ushuhuda wake Askofu Kakobe katika website yake hapa , http://bishopzacharykakobe.org/en/about-us/about-bishop-zachary-kakobe . utaona wazi wazi ameeleza kuhusu kuokoka kwake kutokana na mahubiri ya mtumishi wa Mungu, Askofu Kulola.
90
Hakika Mtumishi wa Mungu Askofu Kulola,amemaliza kazi na taji ya haki amevikwa. Jina la Bwana lihimidiwe
 
Umevipiga vyema vita dhidi ya shetani, Mwendo umeumaliza,Imani Umeilinda. Subiri kuvishwa nishani ya Ushindi na Mwenyezi Mungu Mwenyewe. Raha ya Milele Umpe Ee Bwana na Mwanga wa Milele Umuangazie. Astarehe kwa Amani. Amina.
 
ufunuo 14:13
Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao.
Mpaka lutherani mzee ana watoto wa kiroho, kazi yake haita potea wala kusaaulika.
 
Hawa ndo mababa wa UAMUSHO wa kiroho hapa tanzania, Mungu alijiwekea hazina ya maneno ya uzima ndani yake kwa ajili ya mwili wa kristo/ kanisa. Mungu anatatuinulia Jushua kwa ajili ya kubeba kile kilichokuwemo ndani yake, kanisa tunahitaji uwepo wa Jushua kwajiili ya nasafsi ya Baba Askofu Kulola.
Ninajua kwahakika siku ikifika nitarudi mavumbini niliko toka. Ee Mungu utusaidie kanisa lako kumaliza vema safari zetu.
 
Kwa sentensi moja tu naweza kusema Mzee Kulola aliiifanya kazi ya Mungu kwa usafi na uadilifu mkuu!! kapiga vita vya Imani kamaliza Je sie tuliobakia tutakumbukwa kwa LIPI?
 
Back
Top Bottom