Mkuu ina maana ikirudiwa kwa Yakobo ndio imefutika kwa Abraham?? Nachojua ilianzia kwa Abraham hivyo imacover mataifa mengi sana soma 1 Peter na wagalatia sura ya 3 ile nzima utaona watoto wa Abraham wenye hizo baraka wamekuwa extended. Sababu Kibiblia Abraham ni baba wa mataifa mengi sio Israel tu.
Mkuu nataka statement moja tu je Mungu hakusema kuwa atakayemlaani Abraham atalaaniwa?? Na akasema atabriki uzao wake?? If so kwanini unataka kuwatenga hao wengine je ina maana Mungu anaahidi kitu alafu anasaliti baadae??Kwenye barua za Paul alijaribu kuonesha kuenea kwa imani kwa watia wa mataifa mengine kwa sababu ya kuamini kwao, kama Abrahamu aliamini basi nao wakiamini basi neema itakuwa kwao pia. Lakini Yakobo aliambiwa na wazawa wake watqimiliki nchi ile, na hizi baraka zilienda kwa watoto waliochaguliwa na baba zao, na walioshika Mungu, Abrahamu aliahidiwa nchi ya Kanaani, lakini haki ile ilirithiwa na Isaka na sio ismail, ndio maana alizikwa makpelah, vile vile haki hiyo ya ardhi ya Kanaani akapewa Yakobo na sio Esau, na Yakobo alizikwa makpelah, Mungu alifanya agano na Yakobo mwana wa Isaka mwana wa Abrahamu, haikuwa Esau, wala ismail wala Midian na nduguze ndio maana Abrahamu aliwatenga na Isaka.
Sent from my TECNO-L5 using JamiiForums mobile app
Morsi alijiteketeza mwenyewe kwa mbegu aliyoipanda.Hongera kwa kuwasha moto palipo na kiza angalau wenye macho wapate kuona.
Naona unakaa fuvuMkuu nataka statement moja tu je Mungu hakusema kuwa atakayemlaani Abraham atalaaniwa?? Na akasema atabriki uzao wake?? If so kwanini unataka kuwatenga hao wengine je ina maana Mungu anaahidi kitu alafu anasaliti baadae??
Jibu hoja acha kukimbilia matusi.... Hiyo statement hakupewa Abraham?? Je kwanini una fanya exceptions zako kuwa inamhusu Yakobo tu?? ni wapi waliposema hizo baraka za Abraham zinaenda kwa mtu mmoja tu na sio KIZAZI CHOTE cha Abraham??Naona unakaa fuvu
Team American hata mkiletewa ukweli mwataka upinga kwa upofu wa ushabiki wenu tyuuu.R.I.P Morsi
Kuna viongozi wanafikiri nchi ni zao na watatawala milele pamoja na vizazi vyao. Hebu soma hiki kitabu cha I can, I must, I will by D.r Reginald Mengi utajua kuwa kuna vizazi vyingi vinataka kuongoza nchi kama yeye ila kwa vile viongozi hufikiri wao ndiyo miungu watu na mwisho wake huangamizwa na lawama hutupiwa Marekani wakati wao ndiyo chanzo.
Bora nimshabikie Marekani kuliko Mwarabu. Mwarabu akitawala dunia atachinja sana watu kwa Jihad na wote tutalazimishwa tuwe kwenye dini yake.Team American hata mkiletewa ukweli mwataka upinga kwa upofu wa ushabiki wenu tyuuu.
Bora nimshabikie Marekani kuliko Mwarabu. Mwarabu akitawala dunia atachinja sana watu kwa Jihad na wote tutalazimishwa tuwe kwenye dini yake.
Bora nimshabikie Marekani kuliko Mwarabu. Mwarabu akitawala dunia atachinja sana watu kwa Jihad na wote tutalazimishwa tuwe kwenye dini yake.
Bora nimshabikie Marekani kuliko Mwarabu. Mwarabu akitawala dunia atachinja sana watu kwa Jihad na wote tutalazimishwa tuwe kwenye dini yake.
Hiyo ISLAMIC FOUNDATION NA ALHIKMA FOUNDATION inaweza kunisaida hata mimi nisiye muislam?Hizo ni fikra zako potofu makundi ya brainwashed muslims usijumuishe waislam wote.
Kwanza Tz yako tu inasaidiwa na warabu kuliko hata wazungu ktk maswala ya kijamii pasi na kubagua ilhal taasis zenu za kikatoliki nothing they are doing.
Mmechimbiwa visima vingi.maeneo tofaut na ISLAMIC FOUNDATION NA ALHIKMA FOUNDATION YA SHEIKH KISHKI lini waliwafanyia uhuni.?!
Au ndio Marekani akitunga propaganda mnazimeza.
Mkapa aliikopa iran akashindwa kulipa akaambiwa ajenge chuo kikuu cha uislam tz ili asamehewe den kagoma.
Iran haikumlazmisha ikamsamehe piga picha ingekua WB au IMF uone cha moto.
Msiishi kwa kasumba tyu America akisema hivi mwameza.
Ingekuwa uislam dini ya ukorofi huko Western nations Ulaya uislam usingekuwa unakimbiliwa kwa kasi na kuongezeka wafuasi
HIZO TAASISI MBILI ZIMECHIMBA VISIMA MIKOA MINGI NA. MASHULE MENGI TENA BILA UBAGUZI WA DINI.Hiyo ISLAMIC FOUNDATION NA ALHIKMA FOUNDATION inaweza kunisaida hata mimi nisiye muislam?
Mbona unaandika kwa jazba sana. Punguza munkari mimi mwenyewe sina dini. Bado wapo bongo au wameshasepa?Umeelewa nilichokiandika.?!HIZO TAASISI MBILI ZIMECHIMBA VISIMA MIKOA MINGI NA. MASHULE MENGI TENA BILA UBAGUZI WA DINI.
NA MAAFA MENGI WAMETOA MISAADA MFANO MAAFA YA TETEMEKO LA ARDHI KAGERA.
ISLAMIC FOUNDATION WALISAIDIA KILA RAIA ILHALI HAKUNA TAASIS YA KIKATOLIKI ILIWAHI FANYA HIVYO NA HATA TETEMEKO LA ARDHI HAKUNA TAASISI YA KIKATOLIKI ILITOA MSAADA.
ASA HAPO IMEBAGUA WAPI.!?!NIMEKUANDIKIA JAMII KIUJUMLA AMA HUJUI KUSOMA
Bado wapo Tanzania Islamic Foundation makao yao makuu yapo Morogoro km Ulishawahi kusikia Tv imaan ama redio imaan hawana UBAGUZI ndugu husaidia wengi tyu wenye shida tofauti tofauti.Mbona unaandika kwa jazba sana. Punguza munkari mimi mwenyewe sina dini. Bado wapo bongo au wameshasepa?
Unatakiwa ukutane na Kishki mwenyewe maana watendaji kazi wake muda mwingine huwa wanasumbua si unajua roho za waswahili?Mbona unaandika kwa jazba sana. Punguza munkari mimi mwenyewe sina dini. Bado wapo bongo au wameshasepa?
Hizo ni fikra zako potofu makundi ya brainwashed muslims usijumuishe waislam wote.
Kwanza Tz yako tu inasaidiwa na warabu kuliko hata wazungu ktk maswala ya kijamii pasi na kubagua ilhal taasis zenu za kikatoliki nothing they are doing.
Mmechimbiwa visima vingi.maeneo tofaut na ISLAMIC FOUNDATION NA ALHIKMA FOUNDATION YA SHEIKH KISHKI lini waliwafanyia uhuni.?!
Au ndio Marekani akitunga propaganda mnazimeza.
Mkapa aliikopa iran akashindwa kulipa akaambiwa ajenge chuo kikuu cha uislam tz ili asamehewe den kagoma.
Iran haikumlazmisha ikamsamehe piga picha ingekua WB au IMF uone cha moto.
Msiishi kwa kasumba tyu America akisema hivi mwameza.
Ingekuwa uislam dini ya ukorofi huko Western nations Ulaya uislam usingekuwa unakimbiliwa kwa kasi na kuongezeka wafuasi
Hivi kwanini waarabu/waislam(wananchi wa Iraq,Libya,Syria,Somalia,etc) ikitokea machafuko huwa wanakimbilia kuomba hifadhi kwa makafiri(USA,UK,France,Canada) na hawakimbilii nchi za asali na maziwa za waislam wenzao kama huko Iran,Saudi Arabia,Qutar etc
Acha unafiki.
Kambi za wakimbizi zipo mataifa tofauti kama ulikua hujui wapo wanaokuja Tanzania wasomali tupo kibaaaao kama hujui.
Na kuhusu Libya ht Algeria hapo Taifa jirani wamekimbilia baadhi ya walibya wanaishi.
Kuna baadhi ya wakimbizi wa kiarabu au kisomali hta wa kiBantu wanaamin wakiingia mataifa ya ulaya wataweza kupata maisha ya utajiri kiharaka na kuishi vema.
Kwahiyo wanawaza utajiri wa haraka.
Sawa mkuu.?!
Ila kusema kambi za wakimbizi zipo maeneo tofaut tofauti
Umesema "Kuna baadhi ya wakimbizi wa kiarabu au kisomali hta wa kiBantu wanaamin wakiingia mataifa ya ulaya wataweza kupata maisha ya utajiri kiharaka na kuishi vema."
Kwanini wasikimbilie kwa waarabu wenzao wakapate hayo maisha mazuri huku wakiwa chini ya utawala wa Sharia mkuu?