Headcorner
Senior Member
- Nov 26, 2020
- 188
- 277
Mchezaji wa klabu ya Simba ameonyesha utovu wa nidhamu kwa kuonyesha kidole cha kati kwa wale wote wanaomchukia. Kitendo hicho kimeonekana kwenye kipande cha video inayozunguka kwenye mitandao ya kijamii.