Morogoro road ilijengwa mwaka gani?

Morogoro road ilijengwa mwaka gani?

tuwe fear" ili iweje sasa

Wewe kweli Mulugo. Diploma unaita diproma
tuwe fair unasema fear yaani uwoga halagu eti unasomea engineering. Yaani sidhani kama kuna kitu ktkt ta masikio yako. yaani masikio yako yanaonana kwa ndani. Morogoro road ilijengwa kabla ya 1900 na gavana wa kijerumani aitwae Rechenberg
 
habari wadau wa jf mimi ni mwanafunzi ngazi ya diproma ya uhandisi ujenzi sasa sa hivi tupo kwenye project final year sasa project yangu inahusu masuala ya barabara ya moro road ndo nikakutana na swali hilo hapo juu...?
ilijengwa mwaka 1953---
575496_10151502420973533_315506646_n.jpg
 
Hamuja muerewa,kasomea diproma ya uhandisi kure kwa kina mwita maranya!
 
hivi kuna chuo cha hovyo kama hiki kwenye fani za uhandisi duniani!? Najuta kuchaguliwa hapa hakyanani!

Fafanua kidogo kiongozi uhovyo wa chuo kwenye fani ya uhandisi .......... unajuta kuchaguliwa saint au kuchaguliwa fani ya uhandisi?
 
Hapana niko DIT! Jamani msije mkamwua bure enzi hizi za Mulugo kuna kitu kinaitwa DIPROMA, watu lazima muwe fear bwana!!

Huwa nikiandika kiingereza changu cha kunywea ukuti watu mnasema hamuelewi. haya sasa leo kuna DIPROMA na FEAR
 
1985 waziri mkuu salim Ahmed salim aliizindua

Morogoro Road siyo tu ilikuwepo siku ya Uhuru 1961, ilikuwa ni moja kati ya barabara tatu za lami Tanzania kipindi hicho

Hili ndilo alilolisema rais Kikwete katika hotuba yake "http://www.youtube.com/watch?v=vQuR6Xmkqdg&feature=youtu.be
[h=1]HOTUBA YA RAIS JAKAYA KIKWETE KWENYE MKUTANO WA DIASPORA[/h]
Tofautisha ujenzi wa barabara ya lami na daraja la Kajima na ujenzi wa Morogoro Road.

Barabara ilikuwepo tangu Nyerere anakaa Magomeni, na tangu Mwembetogwa hapajajengwa kituo cha zimamoto.

Sasa kama mtoa mada anauliza lami iliwekwa lini na KAJIMA, jibu lako litafaa.

Ila kama anauliza barabara ilijengwa lini, itabidi kutafuta habari zaidi.
 
Huwa nikiandika kiingereza changu cha kunywea ukuti watu mnasema hamuelewi. haya sasa leo kuna DIPROMA na FEAR

Ha ha ha ha haaaa! Mkuu umenikumbusha na kidhungu chako! Ila huyu jombaa kavunja record, halafu bado anadai yuko anapiga uhandisi kazi kweli kweli!!
 
Hivi nistashahada gani unayochukua, hata herufi za maneno zinakusumbua, wasomi wa leo vilaza kweli.
 
Back
Top Bottom