Morogoro road ilijengwa mwaka gani?

Morogoro road ilijengwa mwaka gani?

575496_10151502420973533_315506646_n.jpg


Kumbe mwaka 1953 ilikuwa pori sana!
 
Jamaa akihitimu hiyo "diproma" nadhani atakua "fear" sana kazini na kwa jamii
 
Tofautisha ujenzi wa barabara ya lami na daraja la Kajima na ujenzi wa Morogoro Road.

Barabara ilikuwepo tangu Nyerere anakaa Magomeni, na tangu Mwembetogwa hapajajengwa kituo cha zimamoto.

Sasa kama mtoa mada anauliza lami iliwekwa lini na KAJIMA, jibu lako litafaa.

Ila kama anauliza barabara ilijengwa lini, itabidi kutafuta habari zaidi.

Na wala si ujenzi wa daraja la kajima ni ujenzi wa daraja la mto msimbazi kajima ni kampuni iliyojenga daraja hilo
 
Na wala si ujenzi wa daraja la kajima ni ujenzi wa daraja la mto msimbazi kajima ni kampuni iliyojenga daraja hilo

Yupo Sahihi hapo ndio kajima walikuwa wanapark ma tractor yao wakati wanajenga! Ndio maana kuna daraja la mkapa.
 
alafu akisema morogoro road nyie mnawaza pale jangwani nadhani tuwaze kuanzia ubungo mpaka morogoro ilianza lini,hii ya mjini wengi tumeiona na tumeikuta tangu enzi za kajima ,konoike na sasa strabag
 
Back
Top Bottom